JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wizara ya Maliasili yatangaza vipaumbele 10 vya Bajeti 2025/2026 ikiwemo kuinua italii na uhifadhi

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imetangaza vipaumbele vyake kumi kwa Mwaka wa Fedha 2025/2026 ikiwemo Kuendelea kutangaza utalii ndani na nje ya nchi kupitia,matangazo katika ligi kuu za michezo mashuhuri duniani,mashindano ya kimataifa, mashirika ya…

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia Dar es Salaam Mwenyekiti wa Cha Deokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu amepandishwa mahakamani kwa mara ya kwanza tangu kukamatwa kwake mapema Aprili, 2025. Lissu alikamatwa Aprili 9, 2025 baada ya kuitisha mageuzi ya uchaguzi na…

Tundu Lissu afikishwa mahakamani

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mwenyekiti wa Chadema Tundu Lissu tayari amepandishwa kizimbani leo Mei 19, 2025 kwa ajili ya kusubiri kutajwa kwa kesi mbili za jinai zinazomkabili ikiwemo uhaini na kuchapisha taarifa za uongo Lissu anakabiliwa na…

Rais Samia ampongeza Prof. Janabi

Rais Samia Suluhu Hassan, amempongeza Profesa Mohamed Yakub Janabi kwa kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kipindi cha 2025–2030. Kupitia ujumbe wake rasmi, Rais Samia amesema ana imani thabiti kwamba uzoefu wa…