JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

LHRC yapatiwa ufadhili dola milioni 2 na Ubalozi wa Norway

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMediaDar es Salaam Kituo cha Sheria na Haki za binadamu kimehuisha kwa kusaini Mkataba Mpya wa makubaliano wa miaka 3, kuanzia 2025-2027 na Ubalozi wa Norway kupatiwa Ufadhili wa fedha kiasi Dola Milioni mbili zitakazosaidia katika Mpango…

TMA yahimizwa kuendelea kushirikisha wadau kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imehimizwa kuendelea kushirikisha wadau kutoka sekta mbalimbali ili kukabiliana na athari za mabadiliko ya hali ya hewa nchini. Mgeni rasmi na Mwenyekiti wa Bodi ya TMA, Jaji Mshibe…

Rais Samia kuwasili Singida

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMddia, Dodoma MGOMBEA urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan anatarajia kuanza kampeni zake mkoani Singida Septamba 9, mwaka huu. Kuanza kampeni zake mkoani Singida kumekuja baada ya kumaliza kampeni hizo katika mikoa ya Iringa,…

Majaliwa azindua kampeni za ubunge jimboni Mchinga

*Asema Rais Samia anatosha, aomba wananchi kumchagua kwa kishindo*Asema Salma Kikwete ana uwezo na dhamira ya kuwatumikia wananchi wake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amezindua kampeni za Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete,…

Zaidi ya wanafunzi 100 kundi la pili wakabidhiwa VISA na vitabu vya muongozo na GEL

Na Mwandishi Wetu KUNDI la pili la wanafunzi 100 wanatarajia kuondoka wiki ijayo kusoma kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchi za nje mwaka huu wa masomo kupitia Wakala wa Vyuo Vikuu Nje ya nchi Global Education Link (GEL). Wanafunzi hao waliagwa…