JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mavunde azindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya TAMISA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Madini Injinia Yahya Samamba kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Bw.Anthony Mavunde amezindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika Sekta ya Madini…

Miradi ya maji inaendelea kujengwa nchini kote – Majaliwa

WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo yote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo karibu na makazi yao. Ameyasema…

Mtoto mchanga aliyeibiwa April 29 apatikana akiwa hai, atupwa pembeni mwa nyumba yao

Na Manka Damian, JamhuriMedia, Mbeya MTOTO wa jinsi ya kiume aliyeibiwa akiwa na akiwa na siku kumi na nne mkazi wa Mtaa wa Iyela One Kata ya Iyela Jijini Mbeya aliyeibwa na mtu asiyejulikana jioni Aprili 29,2025 muda mfupi baada…

Polisi yakamata watu wanne kwa wizi wa vifaa vya mradi miji 28

Na Manka Damian, JamhuriMedia,Mbeya WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya mradi wa kimkakati wa maji wa Miji 28, kwa wizi wa mabomba 50, ya chuma na “levelling mashine” pamoja na…