Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mavunde azindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya TAMISA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Madini Injinia Yahya Samamba kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Bw.Anthony Mavunde amezindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika Sekta ya Madini…
Miradi ya maji inaendelea kujengwa nchini kote – Majaliwa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo yote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo karibu na makazi yao. Ameyasema…
Mtoto mchanga aliyeibiwa April 29 apatikana akiwa hai, atupwa pembeni mwa nyumba yao
Na Manka Damian, JamhuriMedia, Mbeya MTOTO wa jinsi ya kiume aliyeibiwa akiwa na akiwa na siku kumi na nne mkazi wa Mtaa wa Iyela One Kata ya Iyela Jijini Mbeya aliyeibwa na mtu asiyejulikana jioni Aprili 29,2025 muda mfupi baada…
Polisi yakamata watu wanne kwa wizi wa vifaa vya mradi miji 28
Na Manka Damian, JamhuriMedia,Mbeya WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya mradi wa kimkakati wa maji wa Miji 28, kwa wizi wa mabomba 50, ya chuma na “levelling mashine” pamoja na…