JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Umwagiliaji una mchango mkubwa katika maendeleo Dira ya 2050

NIRC, Dodoma Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), Bw. Raymond Mndolwa amesema Serikali imefanya maamuzi mahususi kuwekeza katika Kilimo cha Umwagiliaji ili kuweza kuwa na mchango katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050. Mndolwa amesema hayo katika…

TADB yaleta mapinduzi ya sekta ya kilimo, mifugo na uvuvi visiwani Zanzibar

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Upatikanaji wa huduma za Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) visiwani Zanzibar umefungua fursa mpya za kiuchumi kwa wakulima, wafugaji na wavuvi. Kupitia mikopo nafuu, elimu ya kifedha na uhusiano wa moja kwa moja na…

TCAA yatoa elimu ya matumizi salama ya drones katika kilimo

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dodoma MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) imeendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu matumizi salama na sahihi ya ndege nyuki (drones) katika shughuli za kilimo, ikiwa ni sehemu ya ushiriki wake katika Maonesho ya Wakulima…

Hawa ndio wagombea ubunge waliopeta majimbo tisa CCM Pwani

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Katika zoezi la kupiga kura za maoni kwa ajili ya kuwapata wagombea wa ubunge wa majimbo tisa kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) mkoani Pwani, aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete, ameongoza kwa kupata…

Mvutano wa kisiasa waibuka Dodoma, wanachama CCM waandamana kupinga uteuzi wa diwani mteule

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Mvutano wa kisiasa umeibuka ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Kata ya Mbabala, jijini Dodoma, baada ya baadhi ya makada wa chama hicho kuandamana hadi ofisi za CCM Wilaya wakieleza kutokuwa na imani na diwani…