Category: MCHANGANYIKO
Watumishi Hospitali ya Benjamin Mkapa wajengewa uwezo matumizi sahihi na usalama katika TEHAMA
Na Jeremia Mwakyoma- BMH Akiwasilisha mada hiyo katika kikao cha mafunzo kwa watumishi hao Afisa Ulinzi wa TEHAMA na Data wa Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) Ndg. Adelhelm Adrehelm Oddo amesema kuwa mafunzo hayo yana umuhimu mkubwa kwa watumishi. ”Mitandao,…
Wapiga kura 38,151 wa kata za Malangali na Mzinga kuwachagua madiwani kesho
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Jumla ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa marudio katika Kata za Malangali iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa na Mzinga iliyopo katika…
Ndejembi : Gharama za umeme hazijapanda kwa miaka 10
Lengo ni Wananchi wamudu gharama za matumizi ya umeme Na Mwandishi Wetu, Dodoma Licha ya kuongezeka kwa gharama za vifaa vya umeme ikiwemo nguzo, waya na mita, Serikali imeendelea kuhakikisha gharama za matumizi ya umeme kwa wananchi hazipandi kwa kipindi…
TRA :Makampuni 300 kuunganishwa na mfumo wa IDRAS
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar es Salaam MAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) imesema zaidi ya makampuni 300 yataunganishwa na mfumo wa mfumo wa kisasa wa usimamizi wa kodi za ndani ujulikanao kama “Integrated Domestic Revenue Administration System (IDRAS)” na kutatua kero mbalimbali…
Tanzania, Marekani kushirikiana kukuza teknolojia na utafiti wa madini
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dodoma Tanzania na Marekani zimeeleza dhamira yao ya kuimarisha ushirikiano wa muda mrefu katika sekta ya teknolojia na madini, hususan katika utafiti wa Madini ya Kinywe, wakibainisha kuwa ushirikiano huo utanufaisha pande zote mbili kiuchumi na kiteknolojia….





