Category: MCHANGANYIKO
Rais Samia amedhamiria kuleta Serikali kwa wananchi ili kuleta maendeleo -Mchengerwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, imedhamiria kwa dhati kuisogeza Serikali…
THRDC yatoa Jacketi za usalama kwa JOWUTA
.Yamuomba Rais Maridhiano ya Kisiasa Mwandishi wetu,Dar es Saalam. MTANDAO wa Watetezi wa Haki za Binaadamu Tanzania(THRDC) umekabidhi jaketi za usalama kwa waandishi wanachama wa Chama cha Wafanyakazi katika Vyombo vya Habari Tanzania(JOWUTA) huku ikimuomba Rais Samia Suluhu kurejesha maridhiano…
Dk Biteko aipongeza ETDCO kwa kutekeleza mradi wa kusafirisha umeme Tabora Urambo
Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko, ameipongeza Kampuni ya Ujenzi na Ukarabati wa Miundombinu ya Usafirishaji na Usambazaji wa Umeme (ETDCO) chini ya uongozi wa Kaimu Meneja Mkuu wa kampuni hiyo CPA. Sadock Mugendi kwa…
Bunge lapitisha kwa kishindo bajeti ya madini bilioni 224.98 kwa mwaka 2025/2026
▪️ Maabara ya Kisasa ya Madini kujengwa Dodoma ▪️ Helikopta kununuliwa na kufungwa vifaa maalum kwa ajili ya utafiti ▪️ Wachimbaji Wadogo, Wanawake na Vijana ni sehemu ya Kipaumbele Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya…
Serikali yavuna bilioni 726, 219 sekta ya madini
• Ni kuanzia Julai 2024, hadi Aprili 2025 • Vibali 9,540 vya usafirishaji madini nje ya nchi vyatolewa • Matumizi ya Baruti yaongezeka WIZARA ya Madini kupitia Tume ya Madini imefanikiwa kukusanya jumla ya Shilingi 726,219,317,398.14 ambapo Shilingi 612,593,046,886.50 ni…