Category: MCHANGANYIKO
Dk Jingu aitaka jamii kuwatunza wazee ikiwemo kupinga vitendo vya ukatili dhidi yao
📌 AWASHAURI VIJANA KUJIANDAA NA UZEE‎‎Na WMJJWM – Mwanza‎‎Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu ameitaka jamii kushiriki kikamilifu katika kuwatunza wazee wao, kuwaheshima, kuwaangalia na kulinda dhidi ya vitendo vya…
Askofu Dk Shoo akemea upotoshaji mchango wa Rais Samia kwa taasisi za kidini
Mwenyekiti wa CCT, Askofu Dkt. Fredrick Shoo amesema kuwa baadhi ya watu kwa sababu zao binafsi wamekuwa wakidai kuwa msaada wa Rais, Dkt. Samia ni sehemu ya hongo, madai ambayo yamekuwa yakimuumiza sana kama kiongozi wa dini. Niendelee kumsihi Rais…
MNEC Ndele, ajigamba kwa kujenga Ofisi za CCM
NAla Ruja Masewa, JamhuriMedia, Mbeya Mjumbe wa Halmashauri ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Mbeya MNEC Ndele Mwaselele, amekanusha Uvumi kwamba kuna mtia nia wa ubunge anambeba, na badala yake amejigamba kuwa yeye anatatua Kero za Wananchi na Kujenga…
Tume ya Haki za Binadamu yawahamasisha wananchi kuhusu haki na Uchaguzi Huru
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam TUME ya Haki za Binadamu na Utawala Bora imeutumia vyema msimu wa Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kama jukwaa la kufikisha elimu kwa wananchi kuhusu haki…
CRDB yamkabidhi Rahabu Mwambene zawadi ya gari aina ya Ford Ranger XLT
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imemkabidhi Rahabu Mwambene zawadi ya gari aina ya Ford Ranger XLT baada ya kushinda katika Droo ya tatu ya kampeni ya Tembocard ni Shwaa. Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano…





