JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wajasiriamali waliomba dawati maalum la uwezeshaji TRA kuwa mwarobaini wa kero zao

Na Jovina Massano, JamhuriMedia, Musoma WAJASIRIAMALI mkoani Mara waiomba Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuhakikisha wanatatua na kusikiliza kero pamoja na changamoto zao kupitia dawati maalum la uwezeshaji lililoanzishwa ili kushiriki kikamilifu katika ulipaji mapato. Wameyasema hayo wakati wa hafla…

‘Dk Ndumbaro anapaswa kupewa mitano tena ili amalizie miradi aliyoianzisha’

Uzinduzi wa kampeni Jimbo la Songea mjini. Na Cresensia Kapinga, Jamuhuri ,Songea. Mwenyekiti wa Kamati ya kudumu ya Afya na maswala ya Ukimwi ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Elibariki Kingu amemuombea kura mgombea wa nafasi ya Rais…

Samia ahitimisha kampeni kwa kishindo Kigoma

*Mikataba ujenzi wa kiwanda cha meli waanza*Umeme wafika vijiji vyote, SGR kupaisha uchumi*Ujenzi wa barabara lami kubaki historia*Fidia ujenzi uwanja wa ndege kulipwa haraka Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Mgombe urasi wa Chama cha Mapinduzi Samia Suluhu Hassan amesema ahadi…

Ilani ya Uchaguzi ya CCM imelitazama kipekee kundi la vijana kwa kulijengea mazingira mazuri – Wasira

Na Mwandishi Weti, JamhuriMedia, Iringa MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Stephen Wasira, amesema Ilani ya Uchaguzi ya CCM 2025-2030 imelitazama kipekee kundi la vijana kwa kuhakikisha inalijengea mazingira mazuri ya kuliinua kiuchumi. Amesema moja ya maeneo…

Tume ya Taifa ya Umwagiliaji yasisitiza uhifadhi wa mto Mara

📍 Butiama, Mara Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) imehimiza kuhusu uhifadhi wa mto Mara ili Kuuwezesha kudumu na kuwa endelevu Hayo yamejiri wakati wataalamu wa Tume wakiendelea kutoa elimu kwa wananchi wa Mkoa wa Mara, katika Maadhimisho ya Siku…

Manispaa ya Mji Kibaha kufungua shule mpya tatu za sekondari -Dk Shemwelekwa

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha MANISPAA ya Mji Kibaha, mkoani Pwani Pwani, imejipanga kufungua shule mpya tatu za sekondari na kununua madawati 2,000 ikiwa ni miongoni mwa maandalizi ya kupokea wanafunzi wa kidato cha kwanza mwaka 2026. Mkurugenzi wa Manispaa…