Category: MCHANGANYIKO
Mpango wa kijiolojia Afrika na Ulaya kuzinduliwa Juni 24 jijini Dar es Salaam
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mpango wa jiolojia PanAfGeo unaofadhiliwa na Umoja wa Ulaya, unatarajiwa kuzinduliwa rasmi jijini Dar es Salaam, Tanzania Juni 24 mwaka huu 2025. Tukio hili muhimu linafuatia miaka minane ya utekelezaji na awamu mbili…
Katibu Mtendaji wa Tume ya Madini ahimiza ubunifu, weledi kwa watumishi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, KATIBU Mtendaji wa Tume ya Madini, Mhandisi Ramadhani Lwamo, na Mkurugenzi wa Rasilimaliwatu na Utawala, Nsajigwa Kabigi, wametembelea banda la Tume ya Madini katika Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayohitimishwa leo katika viwanja vya…
Watalii wafurika Hifadhi ya Serengeti kushuhudia uhamaji wa nyumbu kwenda Kenya
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Serengeti NI mafuriko ya watalii. Hivi ndivyo unavyoweza kusema ukifika katika Hifadhi ya Taifa ya Serengeti husuan eneo la Seronera. Hoteli zote zimejaa wageni. Magari ya kubeba watalii hazina idadi. Ni mwendo wa ndege kutua na…
Leseni za madini sasa kutolewa kwa uwazi na ufanisi zaidi
Mwasandende asifu juhudi za Tume ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Bwana Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia…
Wanaotaka vitu kinyume na katiba, sheria ni sawa na ugaidi – Wasira
*Asisitiza umuhimu wa kuheshimu sheria za nchi ,utawala bora *Aishangaa CHADEMA kuwa na kauli mbiu ya No Reform No election kuzuia uchaguzi *Atuma ujumbe kwa wana CCM kutenda haki kupata wagombea ubunge udiwani Na Mwandishi Wetu, Ukerewe MAKAMU Mwenyekiti wa…





