Category: MCHANGANYIKO
Tanzania, Urusi kuimarisha sekta ya nishati
TANZANIA NA URUSI KUIMARISHA SEKTA YA NISHATI 📌 Dkt. Biteko awakaribisha Warusi kuwekeza katika nishati safi ya kupikia 📌 Urusi kuisaidia Tanzania katika afya, usalama mtandao na ulinzi wa miundombinu 📌 Kampuni kubwa ya nishati duniani INTER RAO Export yaonesha…
TBA yatakiwa kuwaelimisha watumishi wa umma kuhusu huduma zake kupitia maonesho ya utumishi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakala wa Majengo Tanzania (TBA) umetakiwa kutumia ipasavyo fursa ya Maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma ili kuwaelimisha na kuwafikia kwa karibu watumishi wa umma kuhusu huduma mbalimbali inazotoa, hususan katika sekta ya makazi na ujenzi…
Fursa za Madini Zipo Kidijitali
Watanzania Watakiwa Kuzichangamkia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Sekta ya madini nchini Tanzania inaendelea kushamiri kwa kasi, ikifungua milango ya ajira, uwekezaji na maendeleo kwa wananchi na Taifa kwa ujumla. Serikali kupitia Tume ya Madini imeendelea kuweka mazingira wezeshi kwa…





