JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania, IFRC wajadili kuimarisha ushirikiano katika masuala ya kibinadamu Afrika Mashariki

Na Mwandishi Wetu, Jamhuri Media, Dodoma Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki anayeshughulikia masuala ya Afrika Mashariki, Denis Londo (Mb) amelishukuru Shirikisho la Kimataifa la Vyama vya Msalaba Mwekundu na Hilali Nyekundu (IFRC) kwa mchango…

Rais Samia aendelea kuboresha miundombinu ya Jeshi la Polisi nchini

Na Jeshi la Polisi, Dodoma Kamishna wa Fedha na Lojistiki wa Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, akimpitisha Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura, akiwa ameambatana na Makamishna wengine kwenye maendeleo ya ujenzi wa nyumba za makazi…

Dk Mwinyi amkabidhi tuzo ya heshima ya uchaguzi Kamishna THBUB

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi, akimkabidhi tunzo ya heshima Kamishna wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora (THBUB), ofisi ya Zanzibar, Mhe. Khatibu Mwinyichande aliyotunukiwa na Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar (ZEC)…

Wahamiaji haramu 126 kutoka Burundi wakamatwa Geita

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Geita IDARA ya Uhamiaji Mkoa wa Geita imewakamata wahamiaji haramu 126, ambao ni raia wa Burundi walioingia nchini, kufanya kazi na kuishi kwenye maeneo tofauti kinyume cha sheria. Mkuu wa Idara ya Uhamiaji Mkoa wa Geita,…

Dk Yonazi aipongeza Serikali mageuzi sekta ya kilimo

Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, imepongezwa kwa kuendelea kufanya mageuzi makubwa katika Sekta ya Kilimo kwa lengo la kuongeza uzalishaji, tija na faida kwa wakulima na wananchi kwa ujumla. Pongezi hizo zimetolewa…

Hati miliki za ardhi 1, 176 zatolewa maonesho sabasaba 

Na Mwandishi Wetu Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi imetoa jumla ya Hati Milki za Ardhi 1,176 wakati wa Maonesho ya Kimataifa maarufu kama Sabasaba yaliyomalizika mwishoni mwa wiki. Katika maonesho hayo yaliyobeba kaulimbiu ya “Fahari ya Tanzania”…