JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mavunde amzawadia mwandishi bora sekta ya madini leseni ya utafiti

Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amemkabidhi Mwandishi Bora wa Sekta ya Madini, Dotto Dosca, wa Malunde Blog, Leseni ya Utafiti wa Madini yenye ukubwa wa kilomita za mraba 20 katika hafla ya Tuzo za Samia Kalamu Awards zilizofanyika Mei…

Miji 28 kubadili Tanga katika huduma ya maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Serikali ya Awamu ya Sita imendelea kutekeleza miradi ya maji ili kuwafikia wananchi. Moja ya mradi ni mradi wa Miji 28 mkoani Tanga ili kufikia lengo la upatikanaji maji asilimia 85 vijijini na 95 mjini…

Rais Samia atunukiwa Medali ya Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametunukiwa Medali ya  Mother of the Nation Order kutoka kwa Rais wa Umoja wa Falme za Kiarabu Mtukufu Sheikh Mohamed bin Zayed Al Nahyan. Medali hiyo iliwasilishwa kwake…

Mathias Canal ashinda Tuzo ya Samia Kalamu Awards

Mwanzilishi na Afisa Mtendaji Mkuu wa WazoHuru Media Group Limited Mathias Canal ameshinda Tuzo mbili za SAMIA KALAMU AWARDS sekta ya ujenzi na chombo bora cha mtandaoni. Pamoja na zawadi ya Cheti, Ngao, Tsh Milioni 10, lakini pia Mathias Canal…

Nyamguma Mahamud aibuka mshindi wa habari za nishati safi ya kupikia

๐Ÿ“ŒNi kupitia Tuzo za Uandishi wa Habari za Samia Kalamu Awards ๐Ÿ“ŒWizara ya Nishati yatambua mchango wake ๐Ÿ“Œ Yamzawadia fedha taslimu, jiko linalotumia umeme kidogo, kompyuta mpakato na uniti za umeme za mwaka mmoja ๐Ÿ“Œ Mhandisi Mramba asema Tuzo ni…