JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Aliyeandika vitisho kuhusu Padri Kitima akamatwa na Polisi

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, linamshikilia na Kumhoji Frey Cossey (51) Mkazi wa Dodoma na Mbezi beach kwa kuchapisha vitisho kupitia mitandao ya kijamii, dhidi ya Katibu Mkuu wa…

TANROADS imekamilisha ujenzi wa Km 109. 49 za lami nchini – Waziri Ulega

Na Mwandishi Wetu, JamhiriMedia, Dodoma Serikali imekamilisha Ujenzi kilomita 109.49 za barabara nchini kwa kiwango cha lami huku ikiendelea na ujenzi wa Kilomita 275.51, hali kadhalika ujenzi wa madaraja matano (5) unaendelea na ujenzi wa madaraja mengine matano (5) upo…

INEC yawataka wananchi kutumia siku zilizobaki kuboresha taarifa zao

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Ruvuma Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, imewataka wananchi wa mikoa 15 inayotekeleza zoezi la Uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura katika mzunguko wa kwanza wa awamu ya pili kuzitumia siku chache zilizobaki katika…

Rais Samia alipa bil. 539/- ukamilishaji daraja la JP Magufuli, mradi wakamilika asilimia 99

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedi, Dodoma Wakati Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan akiingia madarakani mwaka 2021, ujenzi wa daraja la JP Magufuli (Kigongo – Busisi) mkoani Mwanza ulikuwa umefikia takribani asilimia 25 na kutokana changamoto za kutetereka kwa uchumi wa…

Mwenyekiti CCM Songea Mjini awataka waandishi wa habari kufanyakazi kwa kuzingatia maadili

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Songea mjini Mwinyi Msolomi amewaasa waandishi wa habari kuzingatia maadili ya taaluma yao kwa kuandika habari zenye weredi na usahihi katika kipindi hiki cha kuelekea Uchaguzi Mkuu….