Category: MCHANGANYIKO
Mringo ataja changamoto nne zinazowakabili wamiliki wa vyuo binafsi vya ufundi stadi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MWENYEKITI wa Vyuo binafsi nchini, Mahmoud Mringo amebainisha changamoto nne ambazo zinawakabili Wamiliki wa Vyuo binafsi vya Ufundi Stadi nchini. Ambapo ametaja moja ya changamoto kubwa wanayokabiliana nayo ni gharama kubwa za mtaji…
NACTVET yawahakikishia wadau usimamizi thabiti wa ubora wa elimu ya ufundi na amali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Taifa la Elimu ya Ufundi na Mafunzo ya Ufundi Stadi (NACTVET) limeelezea dhamira yake kuhakikisha kuwa mafunzo ya ufundi na yale ya amali yanayotolewa kwenye vyuo na shule za sekondari za…
ALAT yawataka madiwani kuwaelezea wananchi yaliyofanywa na Dkt. Samia
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam MADIWANI nchini wametakiwa kuanza kufanya mikutano ya hadhara katika maeneo yao ili kuwaelezea wananchi mambo mbalimbali yaliyofanywa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Tawala za…
PBZ kuanza kufanyakazi kwa saa 24
Na Lookman Miraji Benki ya watu wa Zanzibar (PBZ) inatarajia kuzindua rasmi ufanyaji wa kazi kwa saa 24 katika tawi lake la Kariakoo, Dar es Salaam. Hayo yamebainishwa na Mkurugenzi mwendeshaji wa benki hiyo Arafat Haji katika hafla ya ftari…
Kamati ya PAC yatembelea mradi wa kufua umeme wa Kikuletwa Hai
Na Happy Lazaro,.JamhuriMedia, Hai Hai.KAMATI ya kudumu ya Bunge ya hesabu za serikali (PAC) imetembelea mradi wa kufua umeme wa Kikuletwa uliopo chini ya Chuo cha Ufundi Arusha(ATC)wilayani Hai mkoani Kilimanjaro na kueleza kuridhishwa na miradi hiyo ambayo ikikamilika italeta…
TIB imezalisha ajira 12,547 kupitia uwekezaji wa miradi ya maendeleo
Na DottoKwilasa,JamhuriMedia,Dodoma BENKI ya Maendeleo(TIB)imesema imezalisha zaidi ya ajira mpya 12,547 kutokana na Benki kufadhili miradi ya muda wa kati na mrefu nchini inayotokana na uwekezaji wa miradi ya maendeleo inayogusa maeneo ya kipaumbele ya Serikali pamoja na malengo ya…