JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

RITA kuwanoa wajumbe bodi, taasisi za wadhamini Mkoa wa Dar es Salaam kesho

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini (RITA) umeandaa mafunzo/mkutano maalum kwa Wajumbe wote wa Bodi za Wadhamini wa Taasisi zilizosajiliwa RITA zilizopo Dar es Salaam yakayofanyika kwenye Ukumbi wa Kimataifa wa Kumbumbuku ya…

DAWASA yaahidi uhakika wa uzalishaji wa maji Dar

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam(DAWASA) DAWASA, Mhandisi Mkama Bwire, amesema kuwa uwezo wa uzalishaji wa maji katika Jiji la Dar es Salaam umeongezeka kutoka lita…

Tunataka kuwa championi wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 – Mwanasheria Mkuu wa Serikali

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mwanasheria Mkuu wa Serikali Hamza Johari amesema kuwa Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeshiriki kikamilifu katika kutoa maoni katika utengenezaji na uandaaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 ili kuhakikisha kuwa Dira…

Dodoma jiji kinara matumizi ya teknolojia kwenye elimu – mbunge Mavunde

▪️Agawa Kompyuta na Printa kwa shule zote za Sekondari za Jiji la Dodoma ▪️Azindua maabara ya lisasa ya Kompyuta ▪️Matumizi ya teknolojia yaongeza ufaulu ▪️Rais Samia apongezwa kwa kuboresha miundombinu ya elimu Dodoma Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini Mh….

Tanzania kuadhimisha kitaifa Siku ya Haki ya Mtumiaji Machi 15 Morogoro

Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia, Dar es Salaam TANZANIA inatarajiwa kuungana na mataifa mengine duniani kuadhimisha Siku ya Haki ya Mtumiaji Duniani Machi 15, 2025 ambapo kitaifa maadhimisho hayo yatafanyika mjini Morogoro yakiongozwa na kauli mbiu isemayo ‘Matumizi endelevu ya rasilimali…