Category: MCHANGANYIKO
Kinglion kuzalisha tani 35,000 za malighafi za kutengeneza mabati kwa mwaka
Na Mwamvua Mwinyi, JamahuriMedia, Pwani Kiwanda kipya cha kuzalisha malighafi za kutengeneza mabati (coils )Kinglion kilichojengwa katika eneo la viwanda Zegereni kitakuwa na uwezo wa kuzalisha tani 35,000. Meneja wa Kampuni ya Kinglion, Arnold Lyimo, amesema alieleza kuwa kiwanda hicho…
Jafo: Maonesho ya Tano ya Viwanda kufanyika kitaifa 2025 Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Dkt. Seleman Jafo, amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dkt. Hashil Abdallah, kuhakikisha kuwa maonyesho ya tano ya viwanda mkoani Pwani yanakuwa ya kitaifa ifikapo mwaka 2025….
Wataalam wa ununuzi na ugavi chukieni rushwa, fanyeni kazi kwa uwazi – Dk Biteko
📌 Atahadharisha vitendo vya rushwa kwenye Manunuzi 📌 Dkt. Biteko afungua Kongamano la 15 la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi 📌 Ataka wasikilize sauti za watu, kutathimini utendaji kitaaluma Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu…
Baba harusi Vicent Massawe akutwa kwa mganga wa kienyeji baada ya kuuza gari alilokodi
Na Magrethy Katengu, JamhuriMedia,Dar es Salaam Vicent Peter Masawe a.k.a baba harusi mkazi wa Kigamboni Dar es Salaam anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za wizi wa gari aliloazimwa wakati wa harusi yake huku akijipatia fedha kwa njia ya…
Rais Mstaafu Dk Kikwete ahudhuria mkutano wa Taasisi ya ubia wa wadau wa maji Kusini mwa Afrika
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Kikwete, ambaye pia ni Mwenyekiti wa Taasisi ya Ubia wa Wadau wa Maji Kusini mwa Afrika (Global Water Partnership (Southern Africa & GWP Africa Coordination Unit), alishiriki Mkutano wa Bodi wa Taasisi…
RITA yamaliza mgogoro wa msikiti wa Ijumaa Mwanza
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhani nchini (RITA), umeitaka Bodi mpya ya Wadhamini wa Msikiti wa Ijumaa jijini Mwanza, kujiepusha na ubadhirifu wa mali za msikiti sambamba na kuimarisha mshikamano wa waumini, pamoja na kutolipiza…