Category: MCHANGANYIKO
Jela maisha kwa kosa la kulawiti mtoto wa miaka mitano
Hukumu imetolewa bila mshitakiwa kuwepo mahakamani *Mshitakiwa anatafutwa ili kutumika kifungo,baada ya kutokome kusikojulikana Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kagera, Rweyemamu Kashunja alimaarufu Baba P (35) dereva bodaboda mkazi wa Manispaa ya Bukoba mkoani Kagera,amehukumiwa kifungo cha maisha baada ya kutiwa…
Bashungwa:Tumieni teknolojia za kisasa kudhibiti uhalifu unaovuka mipaka
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent Bashungwa ametoa wito kwa Majeshi ya Polisi yaliyo katika nchi za Kusini mwa Afrika chini ya Shirikisho la Wakuu wa Majeshi ya Polisi (SARPCCO) kutumia teknolojia za kisasa na kubadilishana taarifa za…
Spika Tulia: Serikali itaendelea kupambana na changamoto ya mikopo kwa wanafunzi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam SPIKA wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Tulia Ackson, amesema Bunge litaendelea kuishauri na kuisimamia Serikali kushughulikia kwa haraka changamoto ya ucheleweshaji wa mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu,…
Serikali yahamasisha matumizi ya teknolojia kutunza mazingira
Na MJovina Massano Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa kwa wadau wote wa mazingira kuhamasisha matumizi ya teknolojia za urejelezaji wa taka kutunza mazingira. Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati…
Ocean Road yaweka kambi viwanja vya Bunge, wabunge wajitokeza kufanyiwa uchunguzi wa saratani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Taasisi ya Saratani Ocean Road, imeweka kambi katika viwanja vya Bunge jijini Dodoma na kutoa huduma za kibingwa na kibobezi za uchunguzi na tiba kwa wagonjwa wa saratani. Hatua hiyo imefikiwa ikiwa ni wiki ambayo…
Wakuu wa vyuo, waratibu watakiwa kuzingatia mwongozo ili kutokomeza vitendo vya ukatili vyuoni
Na WMJJWM – Tabora Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Wakili Amon Mpanju amewataka Waratibu madawati ya Jinsia katika Vyuo Vikuu na vya Kati kuzingatia Mwongozo wa uanzishwaji, uendeshaji na ufuatiliaji wa…





