JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Watu 232 wapata huduma ya uchunguzi na matibabu moyo banda la JKCI Sabasaba

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Watu 232 wamepata huduma za uchunguzi na matibabu ya moyo kwa muda wa siku tatu katika banda la Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) lililopo katika Maonesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa…

Anitha Waitara aingia kinyang’anyiro cha ubunge Kivule, aahidi kutatua kero ya miundombinu

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Anitha Waitara, ametangaza nia ya kuwania ubunge wa Jimbo la Kivule katika Uchaguzi Mkuu ujao, akiahidi kushughulikia changamoto ya miundombinu ya barabara ambayo kwa muda mrefu imekuwa…

Wafanyakazi wa majumbani 700 watunukiwa vyeti vya mafunzo ya VETA

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam ZAIDI ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi mahususi kwa kazi zao. Kwa…

Samia Infrastructure Bond kuwezesha qakandarasi wazawa kitekeleza miradi kwa wakati

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Wakandarasi wazawa nchini sasa wanapata unafuu mkubwa wa mtaji kupitia mpango mpya wa hatifungani maalum ya miundombinu iliyoanzishwa na Wakala wa Barabara za Vijijini na Mijini (TARURA) kwa kushirikiana na Benki ya CRDB, kwa lengo la kuharakisha…

Sagaff ajitosa kumrithi Mavunde Dodoma Mjini

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mhitimu wa Shahada ya Umahiri ya Mawasiliano ya Umma katika Chuo Kikuu Huria cha Tanzania, Ahmed Sagaff amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kuwania ubunge kupitia Chama Cha Mapinduzi katika Jimbo la Dodoma Mjini kwenye…

Naibu Waziri Mwanaidi Aki Khamis achukua fomu kugombea ubunge Viti Maalum

Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis, amechukua fomu ya kugombea nafasi ya Ubunge wa Viti Maalum kupitia Vyuo Vikuu katika Mkoa wa Kusini Unguja.