Category: MCHANGANYIKO
EWURA: Utafiti unaonesha endapo gesi asilia itatumika kwenye usafiri wa umma gharama za maisha zitapungua
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam UTAFITI uliofanywa na Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) umeonesha kuwa endapo gesi asilia itatumika kwa kiasi kikubwa kwenye usafiri na usafirishaji gharama za maisha zitapungua. Hayo yameelezwa na…
Utafiti: Gesi asilia ikitumika kwenye usafiri wa umma gharama za maisha zitapungua
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam UTAFITI uliofanywa hivi karibuni umeonesha kuwa endapo gesi asilia itatumika kwa kiasi kikubwa kwenye usafiri na usafirishaji gharama za maisha zitapungua. Hayo yameelezwa kwenye ripoti ya Utafiti huo uliofanywa na Dkt. Achilana Mtingele…
TEF kufanya Mkutano Mkuu Maalum wa kuchagua viongozi wapya
Na Mwandishi Wetu JUKWAA la Wahariri Tanzania (TEF) limeandaa Mkutano Mkuu Maalum wa wanachama wake wote, ambao umepangwa kufanyika Aprili 3 – 5, 2025, katika Manispaa ya Songea, mkoaniRuvuma. Mgeni rasmi katika mkutano huo wenye kauli ya ‘Uchaguzi Huru na…
DC Ndile awapongeza wabunge Mhagama, Msongozi
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Wilaya ya Songea mkoani Ruvuma Kapenjama Ndile ametoa pongezi kwa Waziri wa Afya na Mbunge wa Jimbo la Peramiho Jenista Mhagama pamoja na Mbunge viti Maalum Mkoa wa Ruvuma Jacklin Ngonyani Msongozi kwa…
Ndumbaro apongeza jitihada za wanawake katika maendeleo
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa Katiba na Sheria Dk . Damas Ndumbaro amesisitiza umuhimu wa kutambua, kukumbuka, na kuheshimu mchango wa mwanamke katika maendeleo ya dunia ya leo. Alisema kuwa kwa sababu wanawake wanachangia katika kukuza pato la…
Tutaendelea kutengeneza sera rafiki kuvutia uwekezaji sekta ya mafuta na gesi asilia – Kamishna Shirima
📌 Asema Sekta ya Mafuta nchini imeimarika 📌 Ataja miradi ya kimkakati ujenzi wa mabomba ya gesi na mafuta Kamishna wa Petroli, Goodluck Shirima amesema kuwa, Tanzania imejipanga vyema kutengeneza sera rafiki zitakazozidi kuvutia uwekezaji kwenye sekta ya Mafuta na…