Category: MCHANGANYIKO
Makamu wa Rais afungua mkutano wa viongozi wa Taasisi na Mashirika ya Umma kuhusu mabadiliko ya tabianchi
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango amesema Viongozi wa Taasisi na Mashirika wanawajibika kuchangia juhudi za Serikali katika kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi kwa kuandaa na kutekeleza mikakati itakayosaidia kupunguza uzalishaji…
Mawakala wa vyama kielelezo cha uwazi uboreshaji daftari la wapiga kura
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwepo wa mawakala wa vyama vya siasa wakati wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura ni kielelezo cha uwazi na ni muhimu kwa kuwa mawakala hao watasaidia kutambua waombaji wa eneo…
Dk Samua kuisuka upya Muhimbili kwa trilioni 1.2/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imedhamiria kuboresha Hospitali ya Taifa Muhimbili kwa kuijenga upya ili kuwezesha huduma zote kutolewa ndani ya jengo moja litakalokuwa na vitanda 1,757 kutoka 1,435 vya sasa ambapo mradi huo utagharimu USD .468…
Macron: Enzi ya ‘unyonge wa Ulaya’ imekwisha
RAIS wa Ufaransa Emmanuel Macron amelihutubia taifa lake kuhusu hali ya sintofahamu iliyopo duniani kutokana na mabadiliko makubwa ya sera ya Marekani juu ya Ukraine katika utawala wa Rais wa nchi hiyo Donald Trump. Kwenye hotuba hiyo kwa taifa iliyorushwa…
BRELA yafuta usajili wa kampuni 11 za LBL
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) umefuta usajili wa kampuni 11 za LBL chini ya kifungu 400A cha sheria sura 212 mara baada ya kampuni hizo kufanya shughuli za kibiashara nje…