JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wafanyabiashara waipa kongole TPA kuboresha huduma za bandari na kuongeza mapato ya Serikali

Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali ya Tanzania wameisifu Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) kwa maboresho ya miundombinu yanayoendelea katika bandari zake hapa nchini, hatua ambayo wamesema imechangia bidhaa zao kufika sokoni kwa…

Rais Samia amlilia Papa Francis

Repost from @samia_suluhu_hassan Nimesikitishwa na taarifa ya kifo cha Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko. Katika kipindi chote cha miaka 12 akiwa Kiongozi wa Kanisa Katoliki Duniani, Papa Francisko ameishi maisha yake kama mwalimu na kiongozi aliyefundisha na kuhimiza…

Dunia yapata pigo kwa kumpoteza Papa Francis

Leo tarehe 21 Aprili 2025, dunia imepata pigo kubwa kufuatia taarifa rasmi ya kifo cha Kiongozi Mkuu wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Francis. Vatican imethibitisha kuwa Papa Francis amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88, baada ya kusumbuliwa na…

Mchungaji Dk Getrude Rwakatare aendelea kukumbukwa

….Alisaidia mahabusu 150 kuachiwa huru……..Alisomesha maelfu kutoka kaya maskini Na Mwandishi Wetu KANISA la Mlima wa Moto la Mikocheni jijini Dar es Salaam, limeendelea kuenzi kazi nzuri zilizokuwa zikifanywa na mwasisi wake Hayati Askofu Dk. Getrude Rwakatare ikiwemo kuombea amani…

Serikali yashauriwa kumwachia huru Lissu na wenzake

Na Mwandishi Maalum Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki nchini Tanzania (TEC), limetoa wito kwa Serikali kuwaachilia bila masharti viongozi wa kisiasa waliokamatwa kwa kudai haki, likisisitiza kuwa hatua hiyo ni muhimu katika kulinda amani ya taifa, hasa kuelekea mwaka…

Watu wenye silaha wamewaua takribani watu 56 Nigeria

Watu wenye silaha wamefanya mauaji ya takriban watu 56 mapema wiki hii katika jimbo la Benue katikati mwa Nigeria, ofisi ya gavana ilisema Jumamosi, ikirekebisha kwa kasi idadi iliyotolewa awali ya watu 17. Viatu vilizosalia vya wanafunzi wa Shule ya…