Category: MCHANGANYIKO
Balozi Nchimbi awasili Namibia msibani kwa Sam Nujoma
Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel Nchimbi, amewasili nchini Namibia, akiongoza ujumbe wa CCM kwenye mazishi ya aliyekuwa Rais wa Kwanza wa Namibia na Baba wa Taifa hilo, Dkt. Sam Shafiishuna Nujoma, yatakayofanyika tarehe 1 Machi,…
Hafla ya uzinduzi usambazaji mitungi ya gesi
Matukio mbalimbali wakati wa hafla ya uzinduzi wa usambazaji mitungi ya gesi ya kupikia na majiko banifu kwa bei ya ruzuku inayofanyika leo Februari 27, 2025 mkoani Tanga. Mgeni rasmi ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt….
Wanawake tunapopata fursa tusimame na tutende haki – Mkurugenzi Ununuzi Nishati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mkurugenzi wa Ununuzi Wizara ya Nishati, Bi. Marieta Kiago ametoa rai kwa Wanawake hususan vijana kuwa wanapopata nafasi za kufanyakazi kwenye maeneo na Taasisi mbalimbali kuhakikishawanasimama imara na kuitenda haki kwa wananchi. Bi….
TANROADS : Barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani ina kilomita 256 na Daraja la Mto Pangani
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Mtendaji Mkuu wa TANROADS, Mhandisi Mohamed Besta amesema barabara ya Bagamoyo Mukurunge Pangani- Saadani na Tanga iliyowekwa jiwe la msingi na Rais Samia Suluhu Hassan ina jumla wa kilomita 256 ikiwa ni pamoja na Daraja…
Aliyemuua mkewe kwa kumchoma moto kwa magunia mawili ya mkaa ahukumiwa kunyongwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam imemhukumu kunyongwa hadi kufa mfanyabiashara Khamis Luwonga baada ya kupatikana na hatia ya kumuua mkewe Naomi Marijani na kumchoma moto kwa kutumia magunia mawili ya mkaa….
Tanzania, Malawi zasaini hati ya makubaliano katika afya na mkataba wa kuhamisha wafungwa
Tanzania na Malawi zimesaini hati ya makubaliano katika sekta ya afya na mkataba wa kuhamisha wafungwa , ikiwa ni hatua muhimu ya kuendelea kuimarisha ushirikiano kati ya mataifa haya mawili jirani. Makubaliano hayo yamesainiwa tarehe 26 Februari 2025 wakati wa…