JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vijana waitwa kuwekeza mazao ya bahari

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Darces Dalaam TUME ya Sayansi na Teknolojia Tanzania (COSTECH) imewaita vijana kuwekeza kwenye uchumi wa Buluu kupitia ubunifu katika mazao ya bahari ikiwemo mimea ya bahari, magamba ya chanza na mengineyo. MKurugenzi Mkuu wa COSTECH, Dk…

Rais Samia apongezwa kuanzisha bima ya afya kwa wote

Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora RAIS wa awamu ya 6 wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan amepongezwa kwa kuanzisha mpango wa Bima ya Afya kwa wote hapa nchini kwa kuwa itawezesha wananchi kupata huduma bora za…

Fanyeni ukaguzi kwa weledi bila ya kumwonea mchimbaji yoyote – Mhandisi Kamando

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mwanza WAKAGUZI wa Migodi ya Madini na Baruti wametakiwa kufanya kazi kwa weledi, kuongeza ufanisi na kufuata taratibu na sheria za nchi katika utoaji wa huduma. Hayo yamesemwa leo Mei 29, 2025 na Mkurugenzi wa Ukaguzi…

Mpango wa Usawa wa kijinsia 2021–2027 wapewa msukumo mpya, Serikali yasisitiza haki sawa kwa wote

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imejipanga kuhakikisha kuwa matakwa ya kikatiba ya usawa wa kijinsia yanatafsiriwa kwa vitendo katika nyanja zote za maisha, ikiwa ni pamoja na elimu, ajira, uongozi na mifumo ya sheria. Haya yamebainishwa leo Mei 29,2025 Jijini hapa…

China yakasirishwa na mpango wa Marekani kwa wanafunzi wake

China imekasirishwa na hatua ya serikali ya Marekani kuapa kubatilisha visa za wanafunzi wa China walioko Marekani, ikiita hatua ya Rais Donald Trump kuwa ya kisiasa na kibaguzi. Awali Marekani ilisema itaondoa nafasi ya wanafunzi hao kuomba visa za kuingia…