JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Leseni za madini sasa kutolewa kwa uwazi na ufanisi zaidi

Mwasandende asifu juhudi za Tume ya Madini Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Afisa Elimu, Kazi na Jinsia kutoka Chama cha Wafanyakazi wa Serikali na Afya Tanzania (TUGHE), Bwana Nsubisi Mwasandende, ameipongeza Tume ya Madini kwa juhudi kubwa inazozifanya katika kusimamia…

Wanaotaka vitu kinyume na katiba, sheria ni sawa na ugaidi – Wasira

*Asisitiza umuhimu wa kuheshimu sheria za nchi ,utawala bora *Aishangaa CHADEMA kuwa na kauli mbiu ya No Reform No election kuzuia uchaguzi *Atuma ujumbe kwa wana CCM kutenda haki kupata wagombea ubunge udiwani Na Mwandishi Wetu, Ukerewe MAKAMU Mwenyekiti wa…

Baraza la Maaskofu Katoliki lapiga marufuku wanasiasa kusimama madhabahuni

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BARAZA la Maaskofu katoliki nchini (TEC) limepiga marufuku viongozi wa kisiasa au kiserikali kupewa nafasi ya kuzungumza madhabahuni, iwe kusalimia, hotuba au kusema chochote. Taarifa ya Mwongo wa Maboresho ya Liturujia iliyotolewa na…

Machifu wamkabidhi Samia Utemi wa Taifa, wamuunga mkono

Machifu kutoka maeneo mbalimbali nchini wamewasilisha maombi kwa Rais Samia Suluhu Hassan, wakimtambua kama Chifu Hangaya, wakiomba kuwa mlezi wa Tamasha la Machifu na kulifanya liendelee kufanyika chini ya ofisi yake. Aidha, wamemuomba kufadhili tamasha hilo na kujenga uwanja wa…

‘Msiwalaze watoto wa jinsia tofauti chumba kimoja’

Na Issa Mwadangala, Songwe WAZAZI na Walezi mkoani Songwe, wametakiwa kutowalaza watoto wa jinsi tofauti katika chumba kimoja pamoja na ndugu, jamaa au marafiki wanaowatembelea ili kuepuka vitendo vya ukatili ikiwa ni pamoja na mahusiano ya kimapenzi. Wito huo umetolewa…