Category: MCHANGANYIKO
Kapinga ataja vigezo vya ziada upelekaji umeme vitongojini
📌 Lengo ni kuhakikisha kila Jimbo linakuwa na vitongoji vingi vilivyofikiwa na umeme 📌 Vinahusisha mahitaji ya kiuchumi na Kijamii, ukubwa wa Jimbo na Kitongoji 📌 Mkurugenzi Mkuu REA atakiwa kumsimamia kwa karibu Mkandarasi wa miradi ya Vitongoji Ziwa Tanganyika…
Waandishi wa habari, AZAKI wajengewa uwezo masuala ya uwajibikaji
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dodoma Taasisis za WAJIBU na Policy Forum, wamezindua mradi wa raia makini kwa kuwajengea uwezo wanahabari na AZAKI katika suala la uwajibikaji kwenye usimamizi wa fedha za umma ili waweze kushiriki kikamilifu katika kudai uwazi na…
REA yahamasisha wananchi kuchangamkia fursa miradi ya nishati safi ya kupikia
Na Mwandiahi Wetu, JakhuriMedia, Dar es Salaam Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umetoa wito kwa wananchi kote nchini kuchangamkia fursa zilizopo kwenye mnyororo mzima wa uzalishaji na usambazaji wa bidhaa za Nishati Safi ya Kupikia ili kujiongezea kipato sambamba na…
Rais Samia aridhia ajira mpya 300 TRA
Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA), imesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia ombi la kuongeza nafasi za ajira 300 katika mamlaka hiyo. Taarifa ya Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala TRA, Moshi Kabengwe kwa niaba ya Kamishna Mkuu wa TRA, Yusuph…
Majaliwa akutana na Waziri Mkuu wa Japan
WAZIRI Mkuu, Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Japan, Ishiba Shigeru ambaye amemuhakikishia kuwa nchi hiyo itaendelea kuimarisha ushirikiano na Tanzania jambo ambalo linalenga kuchochea ukuaji wa uchumi kutokana na fursa zitakazoendelea kupatikana kupitia mahusiano hayo. Amekutana na kiongozi…





