JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania yaendelea kupaa utalii tiba

Na Mwandishi Wetu MADAKTARI bingwa 20 kutoka hospitali kubwa nchini wamesafiri kwenda nchini Comoro kwaajili ya kuweka kambi ya wiki moja ya uchunguzi na utoaji huduma za kibingwa za magonjwa mbalimbali ikiwemo upasuaji wa moyo, saratani na ubongo. Madaktari hao…

Israel yakata rufaa dhidi ya waranti wa kukamatwa kwa Netanyahu na ICC

Israel iliitaarifu Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) Jumatano hii, Novemba 27, kuhusu nia yake ya kukata rufaa dhidi ya hati za kukamatwa zinazomlenga Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu na Waziri wake wa zamani wa Ulinzi Yoav Gallant kwa uhalifu wa…

Mbaroni kwa kudaiwa kukutwa na kura bandia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Polisi mkoani Kigoma imemtia mbaroni mtu mmoja anayetuhumiwa kukutwa na karatasi za kupigia kura akiwa na nia ya kuziingiza kwenye kituo cha kupigia kura ili ziingizwe kwenye boksi la kura. Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma,Filemon…