JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DAWASA yawatangazia fursa wenyeviti wa mitaa

Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia Dar es Salaam KAIMU Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), Mhandisi Mkama Bwire ametangaza fursa lukuki kwa Wenyeviti wa Serikali za Mitaa Wilaya ya Kigamboni zitakazotokana na…

Tanzania yashinda uchaguzi kiti cha Bodi ya Mfuko wa Ubora wa Huduma wa Umoja wa Posta Duniani

📍BERNE, USWIS📍 Tanzania imeibuka kidedea katika uchaguzi wa mjumbe wa Bodi ya Mfuko wa Ubora wa Huduma wa Umoja wa Posta Duniani katika uchaguzi uliofanyika leo tarehe 21 Februari, 2025 Makao Makuu ya Umoja wa Posta Duniani (UPU) jijini Berne,…

Wataalam sekta ya utalii watakiwa kuleta maboresho

Na Happiness Shayo, JamhuriMedia, Tanga Watendaji na Maafisa Utalii nchini wametakiwa kufanya kazi kwa uadilifu, kujituma na ubunifu kuhakikisha Sekta ya Utalii inaboreshwa kwa manufaa ya Taifa. Hayo yamesemwa leo Februari 23, 2025 na Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe….