Category: MCHANGANYIKO
Xavier- Watumishi wa Umma wazingatie maadili na kukumbatia teknolojia kuongeza ufanisi kazini
Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani NAIBU Katibu Mkuu wa Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Xavier Mrope Daudi, ametoa rai kwa watumishi wa umma kuzingatia maadili na kutumia lugha zenye staha wakati wa kutekeleza majukumu yao ili kufanikisha tija…
Selikali kuboresha mazingira ya watafiti na wabunifu wa TEHAMA nchini
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha SERIKALI imeanza maandalizi ya ujenzi na ukarabati wa vituo vinane vya ubunifu katika mikoa minane ili kuboresha mazingira ya watafiti na wabunifu wa TEHAMA nchini. Aidha Wizara ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imezindua kampeni…
Waziri Mhagama apongeza kiwanda pekee kinachotengeneza maji tiba nchini
……. Ni cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Pwani Waziri wa Afya, Jenista Mhagama, amekipongeza kiwanda cha kutengeneza maji tiba cha Kairuki Pharmaceuticals Industry Limited kilichoko Mkoa wa Pwani. Alitoa pongezi hizo jana alipotembelea kiwanda hicho kwa…