Category: MCHANGANYIKO
Wizara ya Mifugo na Uvuvi yaomba Bunge Bajeti ya bil. 476.7 kwa mwaka 2025/26
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Bunge la bajeti likiwa linaendelea Jijini hapa,Wizara ya Mifugo na Uvuvi imewasilisha ombi la bajeti ya shilingi bilioni 476.7 kwa ajili ya mwaka wa fedha 2025/2026, lengo likiwa ni kuendeleza shughuli za sekta hizo muhimu…
Makao makuu ya viwanda kuwa Dar yamechangia kudidimiza mapato Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Licha ya Mkoa wa Pwani kuongoza kwa idadi ya viwanda nchini, unakabiliwa na changamoto ya baadhi ya viwanda kulipa kodi katika Mkoa wa Dar es Salaam badala ya Pwani, jambo linalodidimiza mapato ya mkoa. Akizungumza…
Tumepata maarifa ya kutosha kutoka Mahakama ya Tanzania- Msajili Mkuu Kenya
Na Mary Gwera, Mahakama-Dodoma Msajili Mkuu wa Mahakama ya Kenya, Mhe. Winifrida Mokaya ameushukuru Uongozi wa Mahakama ya Tanzania kwa kukubali ombi la Mahakama hiyo kuja kujifunza na kusema kwamba wamepata maarifa ya kutosha yatakayowawezesha kutekeleza nchini mwao ili kuboresha…
Mbeki atembelea eneo la Mazimbu Morogoro
Na Mwandishi Wetu, JamahuriMedia, Morogoro Rais wa Zamani wa Afrika Kusini, Thabo Mbeki ametembelea eneo la kihistoria la Mazimbu, lililoko mkoani Morogoro ikiwa ni katika Maadhimisho ya Siku ya Afrika ambayo huadhimishwa Mei 25 kila mwaka. Ziara hiyo maalum imebeba…
Mbunge Mavunde akabidhi matofali 41,000, saruji tani 102 Dodoma Jiji
▪️Ni kuunga mkono miradi inayoibuliwa na wananchi kwa kata zote 41 ▪️Jiji la Dodoma latenga Bilioni 6 kuunga mkono miradi inayoibuliwa na wananchi ▪️Vifaa kulenga kuboresha sekta ya Afya na Elimu ▪️Rais Samia apongezwa kwa maendeleo makubwa Dodoma Jiji Na…
CRDB na Taasisi ya Aga Khan waingia makubaliano kurahisisha ulipaji wa ada
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam BENKI ya CRDB imeingia rasmi kati8ka makubaliano ya ushirikiano na Taasisi ya Aga Khan, makubaliano yanayolenga kurahisisha ulipaji wa ada na malipo mengine kwa shule zinazoendeshwa na taasisi hiyo hapa nchini. Makubaliano hayo…





