JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Biteko : Hatuna huruma tunabeba vyote

📌 Tunataka Tuoneshe Afrika na Dunia Tanzania ni Nchi ya Demokrasia 📌 Asema CCM Imejipanga Kushinda na Kuleta Maendeleo 📌 Asema CCM Inataka Ushindi wa Heshima Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Taifa ambaye…

Uandikishaji ada za bima wafikia asilimia 7.4 sawa na tilion 1.24 mwaka 2023

Na Magrethy Katengu,JamuhuriMediaDar es Salaam MAMLAKA ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA) imefanikiwa kuwa na ongezeko uandikishaji wa ada za bima kwa kampuni za umma na binafsi kwa. asilimia 7.4 kutoka tilion Tsh 1.15 ,mwaka 2022 hadi kufikia tilion 1.24…

Wasanii 200 Songea wapata mafunzo uzalishaji filamu bora

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Bodi ya Filamu na Michezo ya Kuigiza Tanzania (TFB)  imeendesha mafunzo kwa wasanii 200 wa tasnia ya filamu wa manispaa hiyo ili kuwajengea uwezo wa kuzalisha filamu zenye ubora na zinazokidhi soko la ndani. Mafunzo…

Mkurugenzi Manispaa Songea avishukuru vyombo vya habari

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea ambaye pia ni msimamizi wa uchaguzi katika Manispaa hiyo Bashir Muhoja amewashukuru waandishi wa habari kwa mchango wao mkubwa wa kupasha habari tangu kwa kuanza zoezi la uandikishaji na katika…

Pinda ataka usawa katika malezi kupinga ukatili wa kijinsia

Naibu Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi mhe. Geophrey Pinda amewataka wazazi wote nchini kuwalea watoto kwa usawa bila ubaguzi ili kuepuka na vitendo vya ukatili wa kijinsia. Naibu Waziri Pinda ametoa wito huo Novemba 23, 2024 alipokuwa…