Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko aikaribisha India kuwekeza miradi ya umeme jua nchini
* Asema suala la Tanzania kuwa na nishati ya uhakika si la kusubiri * Taasisi ya Kimataifa ya Umeme Jua (ISA) yaonesha nia ya kuwekeza *Kituo cha umahiri wa umeme jua kuzinduliwa Arusha Juni mwaka huu Naibu Waziri Mkuu na…
Nafasi ya uenyekiti Tume ya Umoja wa Afrika yabaki kitendawili
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salam Joto la kinyang’anyiro katika nafasi ya Mwenyekiti wa tume ya umoja wa mataifa linazidi kupanda kwa wagombea wa nafasi hiyo. Nafasi hiyo ya uenyekiti imekuwa ikishikiliwa na Moussa Faki raia wa Chad tangu…
Wakuu wa wilaya, wakurugenzi Arusha watakiwa kusimamia kikamilifu suala la lishe
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MKUU wa wilaya ya Karatu Dadi Kolimba amewataka Wakuu wa wilaya na Wakurugenzi kusimamia kikamilifu suala la lishe katika maeneo yao ili kuwa na Taifa lenye watu wenye afya bora pamoja na utimamu wa akili….