Category: MCHANGANYIKO
Wanawake jamii za asili wakutana Arusha kujadili changamoto zao
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia,Arusha Wanawake Jamii za Asili Nchini wanakutana jiji Arusha kujadili changamoto zao ikiwepo athari za mabadiliko ya Tabianchi. Wanawake hao kutoka jamii za wahadzabe, Wamasai, wabarbaigi,wadatoga na waakei wanasema mabadiliko ya tabia nchi yameleta ukame katika maeneo…
Tanzania, China zasisitiza kukuza ushirikiano
Serikali ya Tanzania na China zimesisitiza kuongeza ushirikiano wa kimaendeleo kupitia ziara mbalimbali zinazofanywa na viongozi wa juu wa pande zote mbili ili kuimarisha ushirikiano wa kihistoria na kidiplomasia ulioasisiwa na waasisi wa mataifa hayo, Baba wa Taifa Hayati, Mwl….
Waziri Chana aipa tano TTB kutangaza vivutio vya utalii
Na Happiness Shayo, JamhuriMedia,Dar es Salaam Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi, Dkt. Pindi Chana (Mb) ameipongeza Bodi ya Utalii Tanzania (TTB) kwa jitihada za kutangaza vivutio vya utalii nchini huku akisisitiza kuwa hayo ndio maono ya Rais wa Jamhuri…
Serikali kupitia Wizara ya Fedha yajivunia mchango unaotolewa na ITA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI kupitia Wizara ya Fedha imesema inajivunia mchango unaotolewa na Chuo cha Kodi (ITA) katika kutoa mafunzo ya Forodha na kodi kwa watumishi wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA )na watanzania kwa ujumla…