JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kishindo cha Rais Samia mradi wa JNHPP, atimiza ndoto ya Mwalimu Nyerere

πŸ“Œ Mradi wa JNHPP wakamilika rasmi, watajwa kuikomboa Tanzania kiuchumi πŸ“Œ Dkt. Biteko awapongeza waandishi wa habari kuhabarisha umma mradi wa JNHPP Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….

Kapinga asema kipaumbele cha Serikali ni kufikisha umeme kwenye taasisi zote

πŸ“Œ Taasisi 1,272 zaunganishwa na umeme Lindi πŸ“Œ Maeneo ya pembezoni mwa miji kuendelea kuguswa na miradi ya umeme Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kipaumbele cha Serikali ni kuhakikisha Taasisi zote zinazotoa huduma za kijamii, kiuchumi na…

Dk Kikwete: Natamani Rais Samia aendelee kuliongoza taifa letu

Na Mwamvua Mwinyi, JamhiriMedia, Chalinze Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, anatamani kuona Rais Samia Suluhu Hassan akiendelea kuliongoza Taifa baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu, huku akisisitiza uchaguzi uwe wa amani na salama….

TCCIA yatembelea Mradi Mkubwa wa Biashara Afrika Mashariki EACLC, Wapongeza hatua ya maendeleo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Timu ya Kitengo Cha Uhusiano na Mawasiliano kwa Umma ya Chemba ya Biashara, Viwanda na Kilimo Tanzania (TCCIA), ikiongozwa na Meneja wa taasisi hiyo Bw. Matina Nkurlu, imetembelea na kujionea hatua za mwisho…

Mabalozi kutangaza utalii wa Tanzania kimataifa

πŸ“ŒZiara ya utalii ya Mabalozi kuchochea ushirikiano wa Tanzania na mataifa mengine Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Dar es Salaam Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameipongeza Wizara ya Maliasili na Utalii pamoja na Wizara ya Mambo…

Doyo Hassan Doyo aidhinishwa na NLD kuwania urais 2025

Na Magrethy Katengu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Chama cha National League for Demokracy (NLD) Kimemuidhinisha Doyo Hassan Doyo kuwa Mgombea Urais kwa tiketi ya Chama.hicho katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 2025 huku Mfaume Khamisi Hassani akiidhinishwa kiwania Urais wa Zanzibari Akizungumza mara…