JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Awamu ya pili ya uboreshaji daftari la wapiga kura yaendelea kwa mafanikio – Mwambegele

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Jaji (Rufaa) Jacobs Mwambegele, ametoa rai kwa wananchi wote wenye sifa ya kupiga kura ambao hawakuboresha taarifa zao katika awamu ya kwanza ya zoezi la uboreshaji wa…

CRDB yaadhimisha miaka 30 kwa kujenga shule ya sekondari ya mfano, Dkt. Mpango azindua

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amezindua rasmi Shule ya Sekondari ya Mfano ya Benki ya CRDB, itayojengwa katika Manispaa ya Ilala jijini Dar es Salaam kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya…

Mathias Canal achangia vifaa vya michezo shule mbili za msingi Iramba, ampa heko Mwigulu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Mshindi wa Tuzo za SAMIA KALAMU AWARDS na Afisa Mtendaji Mkuu wa WAZOHURU MEDIA Mathias Canal amechangia vifaa vya michezo katika shule mbili za Msingi ambazo ni Kiomboi Bomani na Kiomboi Hospitali. Vifaa hivyo amevikabidhi…

Mhandisi Samamba ahimiza uaminifu kwa watoa huduma migodini

• Azindua Kamati TAMISA_• Asifu utulivu sekta ya madini_• Dkt• Numbi ahaidi fursa TAMISA_• Viongozi TAMISA kicheko, wajipanga kuvuna Shilingi Trilioni 3.1/-_ KATIBU Mkuu wa Wizara ya Madini, Mhandisi Yahya Samamba amesema kutokana na utulivu uliopo katika Sekta ya Madini,…

Makalla afurahia utabiri wa Lissu kutimia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amos Makalla, ametoa kauli yenye msisimko kuhusu kile anachokiita “kutimia kwa utabiri wa Tundu Lissu”, Mwenyekiti wa CHADEMA, kuhusu hali ya chama chake….