JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

‘Nchi imeendelea kujitosheleza kwa chakula kwa asilimia 128’

*Utoshekevu huo umetokana na ongezeko la matumizi ya mbolea ya ruzuku *Mbolea ya ruzuku ya Sh Bilioni 131 ilisambazwa kwa wakulima katika mwaka 2024/2025 Na Mwandishi Wetu WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema nchi imeendelea kujitosheleza kwa chakula kwa asilimia 128,…

Waziri Mkuu : Trilioni 1.59 zatumika kuunganisha umeme vijiji 4,071

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema tangu Novemba, 2020 hadi Februari, 2025 Serikali imeunganisha umeme katika vijiji 4,071 kwa gharama ya sh. bilioni 1,593 na hivyo kuwezesha vijiji vyote 12,318 vya Tanzania Bara kuunganishwa na umeme. “Hatua inayofuata baada ya kukamilisha…

Dk Makakala aipongeza CBE kwa kuzingatia usawa wa kijinsia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KAMISHNA Jenerali wa Uhamiaji Dk Anna Makakala, kuna umuhimu wa kuchukua hatua za dhati na za kimkakati ili kuhakikisha kuwa usawa wa kijinsia unakuwa sehemu ya maisha ya kila siku na kuhamasisha wanawake kujitokeza…

Waziri Mkuu aupongeza mradi wa EACOP kwa kutoa kipaumbele cha ajira kwa wazawa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Kassim Majaliwa ameupongeza mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP) kwa kuajiri Watanzania zaidi ya elfu sita wanaohudumu kwenye mradi huo mkubwa wa…

Fisi waharibifu wazidi kudhibitiwa Simiyu, Kongwa

Na Sixmud Begashe, JamhuriMedia, Dodoma Wizara ya Maliasili na Utalii imeendelea kuongeza jitihada zaidi za kukabiliana na Wanyamapori wakali na waharibifu hususani Fisi katika maeneo mbalimbali hapa nchini ili kuhakikisha wananchi wanaendelea kuishi kwa amani na usalama. Akizungumzia jitihada hizo…