Category: MCHANGANYIKO
Bilioni saba kumtua mama ndoo kichwani wilayani Mafia
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Mafia Serikali imewekeza zaidi ya sh. bilioni saba katika miradi ya maji wilayani Mafia, miradi ambayo inatekelezwa na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA ili kupunguza kero ya ukosefu wa maji safi na…
DAWASA taasisi ya nfano utekelezaji maagizo ya viongozi -DC Bulembo
Ni utekelezaji wa agizo la Waziri Mkuu kufikisha Majisafi Kigamboni Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MKUU wa Wilaya ya Kigamboni, Halima Bulembo ameipongeza Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) kwa kutekeleza kwa wakati…
Nape awataka wagombea kufanya kampeni zenye tija
Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa na Nape Moses Nnauye amewataka wagombea wa nafasi ya mbalimbali kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa kufanya kampeni zenye tija na kuchochea maendeleo. Akizungumza leo Novemba 20 2024 mjini Sumbawanga Nape Moses Nnauye…
Haiti : Marekani yataka kikosi cha Kenya kugeuzwa kuwa cha walinda amani wa UN
Nchi ya Marekani, sasa inataka polisi wa Kenya waliotumwa nchini Haiti kwenda kusaidia idara za usalama za nchi hiyo kukabiliana na makundi yenye silaha, kigeuzwe na kuwa kikosi kamili cha kulinda Amani cha umoja wa Mataifa. Pendekezo hili licha ya…
DED Mji Kibaha akutana na wamiliki na wafanyabiashara vituo vya mafuta
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Kibaha ,Dkt.Rogers Jacob Shemwelekwa amekutana na Wamiliki na Wafanyabiashara ya mafuta kuwakumbusha kuwa wazalendo kwa Taifa,kufanyabiashara kihalali na kulipa Kodi ya Serikali kwa wakati. “Nawasihi sana,nipeni ushirikiano ili sote tukishirikiana…
Tanzania yashika nafasi ya tatu uzalishaji madini ya Kinywe ‘Graphite’ Afrika
Na Magrethy Katengu,JamhuriMediaDar es Salaam Tanzania Miongoni mwa Nchi kinara kwa uzalishaji Madini ya Kinywe(Graphite) Afrika inashika nafasi ya 3 ambapo huzalisha kwa asilimia 0.64 kwa mahitaji yote Duniani nafasi ya pili ikifutiwa na Msumbiji 10% huku nafasi ya kwanza…