JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania, Uingereza zajadili mpango wa kuongeza thamani madini muhimu mkakati

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Serikali ya Tanzania na Uingereza Aprili 8, 2025 zilikutana na kujadili kwa pamoja Taarifa ya Uchambuzi wa Kina iliyoonesha fursa za kuongeza thamani madini za muda Mfupi na wa Kati wa Madini Muhimu na Mkakati…

EACOP yakabidhi cheti cha haki ya kimila ya umiliki wa ardhi kwa jamii ya Akie

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kiteto Mradi wa Bomba la Mafuta Ghafi la Afrika Mashariki (EACOP), umekabidhi cheti cha haki ya kimila ya umiliki ya ardhi ya kimila ya umiliki wa ardhi yam situ mtakatifu kwa jamii ya Akie iliyopo Kiteto…

Ulega : Ujenzi madaraja matano hautaathiri mipango ya kudumu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Serikali imefafanua kwamba kazi ya ujenzi wa madaraja matano kwenye barabara Kuu ya Dar es Salaam – Lindi zilikuwa zinaendelea na haitaathiriwa na juhudi za sasa za kukarabati maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko ya mvua katika…

Ongea na Mwanao, mwimbaji wa injili Christina Shusho kushiriki tamasha la mtoko wa Pasaka

Na Magrethy Katengu, JammhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Mama Ongea na Mwanao imetangaza kuunga mkono juhudi za mwimbaji mashuhuri wa nyimbo za injili, Christina Shusho, katika maandalizi ya tamasha la Mtoko wa Pasaka linalotarajiwa kufanyika Aprili 20 katika ukumbi…

Waziri Ndumbaro : Ukatili wa kijinsia Tanga ni changamoto kubwa

Na Ashrack Miraji, JamuhuriMedia, Tanga WAZIRI wa Katiba na Sheria, Dkt. Damas Ndumbaro, amezitaka familia, viongozi wa dini, na uongozi wa Mkoa wa Tanga kuanzisha mikakati madhubuti ya kupambana na ukatili wa kijinsia, ili kukomesha tatizo ambalo limekuwa ni changamoto…