Category: MCHANGANYIKO
Ni sahihi msimamo wa wabunge kutaka NECM kuwa NEMA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katika dunia inayoendelea kwa kasi kwa kila nyanja, kuna kila sababu kwa Tanzania kuwa na chombo madhubuti cha kusimamia mazingira. Ni jambo lisilokuwa na ubishi kuwa kwa hali ya sasa na hata hapo baadae, Baraza…
SADC-EAC yataka M23 na wahusika wengine kuwa sehemu ya mazungumzo
Mkutano wa pamoja wa EAC-SADC kuhusu mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo umeitaka M23 na makundi mengine yasiyo ya kiserikali kujumuishwa katika mazungumzo na majadiliano yanayoendelea kwa lengo la kutatua mgogoro wa mashariki mwa Congo. Mkutano huo pia umesisitiza…
Serikali yapokea mapendekezo NEMC kuwa mamlaka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu Wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhandisi Hamad Yusuf Masauni amesema Serikali imeyapokea na inaendelea kuyafanyia kazi mapendekezo matatu ya marekebisho ya Sheria ya Mazingira sura 191. Miongoni mwa mapendekezo…