JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mpango atoa rai kwa viongozi kushirikana na taasisi za misitu na utafiti

Makamu wa Rais, Dk Philip Mpango ametoa rai kwa viongozi wa mikoa kwa kushirikiana na taasisi za misitu na utafiti waanzishe bustani za mimea zinakazosaidia vijana kutafiti na kutengeneza dawa. Dk Mpango alitoa rai hiyo wakati wa maadhimisho ya miaka…

Muhimbili yakabiliwa na upungufu wa damu kwa asilimia 60

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH) Dar es Salaam imeeleza kuwa ina upungufu wa damu kwa asilimia 60 kutokana na kiwango kidogo cha upatikanaji wa damu ikilinganishwa na uhitaji wa damu kwa siku….

Wakandarasi wazembe kuchukuliwa hatua

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali imeiagiza Bodi ya Usajili wa Makandarasi (CRB) kuwachukulia hatua makandarasi wazembe wanaosababisha hasara na athari kwa serikali na wananchi kwa kutokamilisha miradi kwa wakati. Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega ametoa agizo hilo leo…

Udanganyifu soko la bima nchini wapatiwa tiba

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia, Arusha Wadau kutoka sekta ya bima nchini na nje ya nchi wameungana pamoja kutafakari changamoto na mambo mbalimbali ya kisekta ili kuanzisha msingi thabiti wa kuondokana na changamoto za udanganyifu katika soko la bima. Akizungumza kwenye…

INEC haitamvumilia atakayehusika na kuvuruga zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura

Na Mwandishi Wetu, Morogoro. Mkurugenzi wa Uchaguzi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), Ramadhani Kailima, amesema Tume haitamvumilia mtu yeyote atakayehusika na kuvuruga zoezi la uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kwa kujiandikisha katika vituo zaidi ya…

DP Word yapaisha mapato na kufikia trilioni 8.26

Maboresho na ushirikishwaji wa Sekta Binafsi katika Bandari ya Dar es Salaam umeleta mafanikio ya kuongezeka kwa mapato yatokanayo na shughuli za kibandari, ambapo katika kipindi cha kuanzia mwezi Julai, 2024 hadi kufikia Februari 2025, mapato yatokanayo na Kodi ya…