Category: MCHANGANYIKO
Dk Samia kumwaga sera za CCM Pwani Septemba 28
Na Mwavua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, anatarajiwa kufanya ziara ya kampeni mkoani Pwani, Septemba 28, mwaka huu. Akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake,…
Dk Biteko ampa pole Rais Mwinyi, ashiriki mazishi ya kaka yake
Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ameungana na mamia ya waombolezaji kutoa pole kwa familia ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi…
Majaliwa: Samia ametuondolea changamoto Ruangwa
Na Kulwa Karedia,JamhuriMedia,Ruangwa Waziri Mkuu Majaliwa Kasimu amesema changamoto nyingi zilizokuwepo ndani ya Wilaya Ruangwa zimepungua kwa kiasi kikubwa kutokana na Rais Samia Suluhu Hassan kupeleka fedha nyingi katika sekta mbalimbali. Majaliwa ametoa kauli hiyo Septemba 24,2025 katika uwanja wa…
Tume ya Madini yavunja rekodi ya upimaji sampuli kwa mwaka 2024/2025
Maabara ya Tume ya Madini imevuka lengo la upimaji sampuli za madini kwa mwaka wa fedha ulioisha Juni 30, 2024/2025, baada ya kupima jumla ya sampuli 7684 dhidi ya lengo la 6,800. Hili ni ongezeko linaloashiria ufanisi mkubwa wa maabara…
Dk Samia ashiriki sala fupi na kuweka shada la maua kaburi la hayati Mkapa
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameshiriki sala fupi na kuweka shada la maua katika kaburi la Rais wa Awamu ya Tatu, Hayati Benjamin William Mkapa. Dkt. Samia kabla ya kushirki sala…
Aliyejaribu kumuua Trump apatikana na hatia
Ryan Routh amepatikana na hatia ya kujaribu kumuua Rais Donald Trump kwenye uwanja wa gofu wa Florida Septemba mwaka jana. Mahakama ilimpata Routh, 59, na hatia ya mashtaka yote, ikiwa ni pamoja na jaribio la mauaji ya mgombea mkuu wa…





