JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Kikundi Kazi Kilimo TNBC chaja na maazimio kuboresha sekta ya Kilimo

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Baraza la Taifa la Biashara (TNBC) kupitia Kikundi Kazi cha Kilimo limekuja na maazimio kutatua changamoto mbalimbali zinazoikumba sekta hiyo hapa nchini sambamba na kuifanya sekta hiyo kuchangia uchumi wa Taifa ipasavyo. Akizungumza…

Rais Samia kupokea gawio la kihistoria leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Samia Suluhu Hassan, Jumanne, leo Juni 10, 20205 anatarajia kupokea gawio na michango mingine kutoka kwa taasisi za umma na kampuni ambazo serikali ina umiliki wa hisa chache, huku matumaini ya wataalamu…

Makamu wa Rais ahutubia mkutano wa Bahari wa Umoja wa Mataifa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ametoa wito kwa Mataifa kuhakikisha kunakuwa na hatua za pamoja, mshikamano wa kimataifa, na uwekezaji endelevu ili kuhakikisha uchumi endelevu wa bahari, kupunguza uchafuzi wa mazingira pamona…