JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Rais Samia aongoza Maadhimisho ya Miaka 48 ya CCM, akisisitiza maendeleo na uongozi bora

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia, Dodoma Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameongoza maadhimisho ya miaka 48 ya kuzaliwa kwa chama hicho, yaliyofanyika kwenye Uwanja wa Jamhuri Jijini Dodoma. Aidha…

Samia, Mwinyi watuma salamu za rambirambi kifo cha Aga Khan IV

Rais Dk Samia Suluhu Hassan na Rais wa Zanzibar Dk Hussein Ali Mwinyi wametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha kiongozi wa kiroho wa madhehebu ya Ismailia duniani na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan. Rais Samia amesema…

Wananchi watakiwa kutumia fursa ya miradi kuunganisha umeme – Kapinga

📌 Lengo ni wananchi kuepuka gharama inayotokana na kuunganisha umeme wakati miradi imekamilika Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga ametoa rai kwa wananchi kuunganisha huduma ya umeme wakati miradi mbalimbali ya umeme inapotekelezwa ili kuepuka gharama inayoweza kutokea pale miradi…

CAG Kichere aipa heko TANROADS ujenzi uwanja wa ndege Msalato

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) Bw. Charles Kichere amepongeza kasi ya ujenzi wa uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato wenye ukubwa wa hekta 4,500 ( hekari 11000). CAG Kichere ametoa…

Mvua yapoteza miundombinu Chuo cha Sauti Mtwara

Na Mwandishi Wetu, Mtwara Kufuatia mvua kubwa iliyonyesha Februari 3,2025 imesababisha maafa kwa baadhi ya maeneo ya Manispaa ya Mtwara Mikindani mkoani Mtwara hususani kwa wanafunzi wa Chuo cha Sauti na Utumishi. Maafa hayo yametokea mtaa Kiyangu ‘B’ ambako wanafunzi…

Mahakama ya Afrika yajadili masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia

Na Zulfa Mfinanga, JamhuriMedia l, Arusha Mahakama ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) leo imeendesha semina juu ya ujumuishaji wa masuala ya jinsia katika utoaji wa fidia huku kundi la wanawake likitajwa kuathiriwa zaidi na ukiukaji wa…