Category: MCHANGANYIKO
Kuunganisha umeme maeneo ya vijijini sh. 27,000 – Kapinga
📌 Asema kuunganisha umeme maeneo ya mjini shilingi 320.960/- 📌 Kapinga asema maeneo ya Kerwa umeme umeshafika Makao Makuu ya Vijiji Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga kwa niaba ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto…
Dk Biteko aongoza waombolezaji kuaga miili ya wanafunzi waliofariki saba kwa radi Geita
📌 Rais Samia atuma salamu za pole, agharamia misiba na mazishi 📌 Mkuu wa Wilaya Bukombe aishukuru Idara ya Afya kwa juhudi za maokozi 📌 Viongozi wa dini wahimiza uvumilivu na uhimilivu kipindi cha majonzi Na Ofisi ya Naibu Waziri…
RC Sendiga amuapisha DC Mbulu
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga amemuapisha Michael Semindu kuwa Mkuu wa Wilaya ya Mbulu baada ya kuteuliwa na Rais Samia Suluhu Hassan Januari 25, 2025 kuwa mkuu wa wilaya hiyo. Hafla ya uapisho huo imefanyika katika ukumbi wa…
‘Walipa kodi Pwani watoa mapendekezo kupunguza utitiri wa kodi’
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Baadhi ya wadau walipa kodi Mkoani Pwani, wametoa mapendekezo kwa Serikali kusaidia kupunguza utitiri wa kodi na ushuru ili kulinda mitaji yao na kujipatia faida kulingana na biashara zao. Aidha, wameomba Serikali iweke mazingira bora…
Barabara za ndani Jiji la Arusha zapata mwarobaini
Na Zulfa Mfinanga, Jamhuri Media, Arusha Watendaji wa Halmashauri ya Jiji la Arusha wametakiwa kuwa wazalendo katika matumizi sahihi ya mitambo mipya iliyonunuliwa kwa lengo la matengenezo ya barabara za ndani ya jiji ambazo hazina viwango vya TARURA. Akizindua mitambo…
Wadau wakutana Arusha kujadili masuala mbalimbali ya nishati
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wadau mbalimbali wa nishati kutoka ndani na nje ya nchi wamekutana mkoani Arusha kwa lengo la kujadili namna bora ya kuboresha sekta hiyo na kuweza kuweka mikakati ya pamoja katika kufikia malengo ya Dira ya…