Category: MCHANGANYIKO
Diaspora kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa
Watanzania wanaoishi Jamhuri ya Czech wameahidi kushirikiana na Serikali kuchangamkia fursa zinazopatikana katika nchi hiyo kwa manufaa ya nchi na wananchi. Ahadi hiyo wameitoa Januari 18, 2025 walipofanya kikao na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…
Noti mpya za fedha kuanza kutumika Februari 1,2025
Na Benny Mwaipaja, Dar es Salaam Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania, Bw. Emanuel Tutuba amesema kuwa Noti Mpya za Tanzania zenye Saini ya Waziri wa Fedha, Mhe. Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb) na yeye mwenyewe, za toleo la mwaka…
Benki Kuu yanunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa nchini – Waziri Mavinde
📍 Dodoma Waziri wa Madini, Mhe. Anthony Mavunde, amebainisha kuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) imenunua tani 2.6 za dhahabu inayochimbwa na kusafishwa hapa nchini ikiwa ni sehemu ya juhudi za kukabiliana na changamoto ya upungufu wa fedha za kigeni,…
Watakia kuchukua vitambulisho vyao NIDA
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), imetoa wito kwa wananchi kuchukua vitambulisho vyao baada ya kupokea ujumbe mfupi wa simu. Mkurugenzi Mkuu wa NIDA, James Kaji, amesema mamlaka imefanya maboresho makubwa katika mchakato…