JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Chana akutana na sekretarieti ya mkataba wa Lusaka

Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Balozi Dkt. Pindi Chana (Mb) amekutana na kufanya mazungumzo na Sekretarieti ya mkataba wa Lusaka (Lusaka Agreement) kuhusu Mkutano wa 14 wa Baraza la Usimamizi wa Mkataba wa Lusaka(LATF) unaotarajiwa kufanyika jijini Arusha kuanzia…

Ofisi ya Makamu wa Rais kutekeleza mradi wa mazingira Zanzibar

Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Rais inatarajia kutekeleza Mradi wa Kuhimili Mabadiliko ya tabianchi katika jamii za Wazanzibari zilizoathiriwa na maji chumvi na kukosa maji baridi. Hayo yamesemwa na Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira)…

Mjasiriamali aliyenufaika na mafunzo ya SDF amshangaza Waziri Kabudi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Sanaa, Utamaduni na Michezo, Profesa Palamagamba Kabudi amewataka watanzania wasiogope kuwa wajasiriamali wa kilimo kwani kinalipa. Amesema hata kilimo cha uyoga kimewanufaisha wajasiriamali wengi akiwemo Esther Shebe ambaye amenufaika na…

Kirenga: Ubia wa Serikali, sekta binafsi umeibeba SAGCOT

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma MKURUGENZI Mtendaji wa Kituo cha Kuendeleza Kilimo Nyanda ya Juu Kusini mwa Tanzania ( SAGCOT), Bw.Geoffrey Kirenga amesema mafanikio yaliyopatikana katika Ukanda huo kiuwekezaji kwenye kilimo yametokana na ushirikiano wa pamoja kati ya serikali na…

Tija kwa nchi ndiyo kipaumbele cha utekelezaji mradi wa kuchakata na kusindika gesi asilia – Dk Biteko

📌 Asema kiu ya Serikali ni kuona mradi unatekelezwa ila maslahi ya Taifa ndiyo kipaumbele 📌 Alieleza Bunge hatua zinazochukuliwa na Serikali kuhamasisha ujenzi wa vituo vya gesi (CNG) na matumizi 📌 Aeleza kuhusu kuundwa kwa Timu kuangalia unafuu wa…

Mahera awataka walimu kuwa wabunifu na utoaji bora elimu ili kufikia malengo ya Serikali

Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Kufuatia jitihada za Serikali ya Awamu ya Sita katika kuboresha mazingira ya elimu na kutatua changamoto mbalimbali zilizokuwepo, walimu wanapaswa kuwa wabunifu na kuimarisha utoaji elimu bora ili kuinua taaluma kwa wanafunzi. Rai hiyo imetolewa…