Category: MCHANGANYIKO
Kitima ana biashara gani CHADEMA?
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na mgombea wa nafasi ya uenyekiti ndani ya chama hicho, Tundu Lissu, wakati wa mchakato wa kampeni zake amebainisha kuwapo kwa watumishi wa Mungu…
Majaliwa : Serikali imefanya uwekezaji mkubwa kwa TMA
▪️Lengo ni kuwezesha utoaji wa utabiri na tahadhari za hali mbaya ya hewa Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SERIKALI ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan, imeendelea kufanya uwekezaji mkubwa katika Mamlaka ya…
Kliniki ya sheria bila malipo yazinduliwa Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kilimanjaro MKOA wa Kilimanjaro umeingia kwenye ukurasa mpya wa upatikanaji wa haki kwa uzinduzi rasmi wa Kliniki ya Sheria bila malipo, uliofanywa na Mkuu wa Mkoa, Nurdin Babu. Hafla hiyo ilifanyika leo Januari 21, 2025 katika…
Gethsemane group Kinondoni yaipua wimbo wa Ni siku yetu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KWAYA ya Gethsemane Group Kinondoni (GGK) SDA ya jijini Dar es Salaam imeipua wimbo wake mpya maalumu kwa ajili ya Harusi ujulikanao kama Ni Siku Yetu. Wimbo huo umetolewa mwishoni mwa wiki iliyopita…
Waziri Kombo awakaribisha wafanyabiashara wa Czech
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo amewakaribisha wafanyabiashara wa Czech kuangalia fursa za uwekezaji nchini Tanzania katika sekta za utalii uchukuzi, afya, TEHAMA, nishati, madini na elimu. Waziri Kombo alitoa mwaliko huo…