Category: MCHANGANYIKO
Serikali mtegoni
*Wadau wakiri si sahihi polisi kuzua watu kwenda mahakamani *Wadai ni kinyume na Ibara ya 18 ya Katiba na sheria nyingine kadhaa *Watoa wito Mahakama kulizuia Jeshi la Polisi kukukuza watu Kisutu *Wengi wanaamini bado fursa ya mazungumzo ipo Na…
Biashara Mtandao yaingiza Bilioni 192.8/-
Serikali imekusanya Shilingi bilioni 192.78 kutokana na biashara mtandaoni, ikiwemo michezo ya kubahatisha, kati ya Julai 2024 hadi Machi 2025, kutoka kwa kampuni 1,820 zilizosajiliwa rasmi. Taarifa hiyo imetolewa bungeni jijini Dodoma na Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara, Exaud…
Marekani yatoa dola milioni moja kuimarisha mapambano dhidi ya Mpox Tanzania
Serikali ya Marekani yatoa takriban Dola Milioni Moja Kuimarisha Mapambano Dhidi ya Mpox TanzaniaTanzania – Serikali ya Marekani kupitia Kituo cha Kudhibiti Maradhi (CDC), imetangaza msaada wa karibu dola milioni moja kwa ajili ya kuimarisha ufuatiliaji na udhibiti wa kuenea…
CBE yaisaidia shule ya sekondari Benjamin Mkapa vifaa vya milioni 4.4/-
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimetoa msaada wa vifaa mbalimbali vyenye thamani ya shilingi milioni 4.4 kwa shule ya elimu jumuishi ya Benjamin Mkapa ya jijini Dar es Salaam. Miongoni mwa msaada…
Watendaji uboreshaji wa daftari awamu ya pili watakiwa kuzingatia sheria- INEC
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Iringa TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imewataka watendaji wa uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapiga Kura kufanya kazi kwa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Uchaguzi wakati wa utekelezaji wa awamu ya pili ya…