Category: MCHANGANYIKO
Dk Biteko ataka mitaala vyuoni iendane na mabadiliko ya teknolojia
📌Azindua dira ya miaka 50 ya CBE (2025 – 2075) 📌Asisitiza matumizi ya teknolojia za kisasa, zinazojibu changamoto za jamii 📌Taasisi za elimu ya juu zatakiwa kuweka mkazo mafunzo ya ujasiriamali Vyuo na taasisi zinazotoa elimu ngazi ya Kati ikiwemo…
‘Filamu ya Royal Tour imeongeza watalii asilimia 183’
Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema filamu ya The Tanzania Royal Tour imechangia sekta ya utalii kuchangia pato la taifa kwa asilimia 30 huku watalii wakiongezeka kwa asilimia 183. Abdulla aliyasema hayo…
Dk Mpango atoa wito kwa majaji, mahakimu wanawake kutofumbia macho vitendo vya ukatili
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha MAKAMU wa Rais Dkt. Philipo Mpango ametoa wito kwa Majaji na Mahakimu wanawake nchini kutofumbia macho vitendo vya ukatili kwani wapo wanawake, watoto na wanaume wanaopitia vitendo vya ukatili wa kijinsia au kimwili lakini hawatoi…