Category: MCHANGANYIKO
Miaka minne ya Dk Samia…TRA yang’ara
*Yaandika historia kwa kuvunja rekodi ya makusanyo miezi minane mfululizo *Maboresho, uanzishwaji wa mifumo mipya ya TEHAMA yatajwa nyuma ya mafanikio *Ukaribu kati ya watumishi wa TRA, wafanyabiashara waongeza mapato, kuaminiana *Mwenda: Ifikapo Agosti mwaka huu mambo yatakuwa mazuri kupita…
Tume kuongeza mashine vituo vyenye watu wengi
Na Mwandishi Wetu TUME Huru ya Taifa ya Uchaguzi imesema itaongeza mashine za BVR na watendaji katika vituo ambavyo vimebainika kuwa na watu wengi ili kufanikisha uandikishaji na uborteshaji wa taarifa katika Daftari la Kudumu lka Wapiga Kura mkoani Dar…
Rais Dk Samia ametimiza ahadi zake kwa Watanzania-Majaliwa
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa amesema kuwa katika kipindi cha miaka minne ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan madarakani ameweza kutekekeza miradi yote ya kimkakati iliyoasisiwa na watangulizi wake ikiwemo ya Rais wa Awamu ya Tano, Dkt. John Pombe Magufuli. Amesema kuwa Mheshimiwa…
Majaliwa : Toeni mafunzo yanayozingatia soko la ajira
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wadau wa elimu na mafunzo ya ufundi stadi nchini watoe mafunzo yanayozingatia mahitaji halisi ya soko la ajira. “Mahitaji ya soko la ajira tutayajua kwa kufanya tafiti za mara kwa mara kwa ushirikiano…
Lukuvi : Serikali itaendelea kumuenzi hayati Rais Magufuli
Serikali imesema itaendelea kumuenzi Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano, Dk John Magufuli. Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu, Sera, Bunge na Uratibu, William Lukuvi ametoa ahadi hiyo kwa niaba ya Rais Samia Suluhu Hassan. Lukuvi alitoa ahadi…
Maeneo ya kijamii yamepewa kipaumbele kufikiwa na umeme – Kapinga
Naibu Waziri Nishati, Judith Kapinga amesema utekelezaji wa miradi ya umeme vijijini umetoa kipaumbele kwenye maeneo yanayotoa huduma za kijamii ikiwemo Shule, Taasisi, vituo vya afya, zahanati na maeneo ya visima vya maji kwa sababu ni maeneo yanayotoa huduma kwa…