Category: MCHANGANYIKO
Serikali ipo kazini na inaendelea kufanyakazi – Majaliwa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amewahakikishia Watanzania kwamba Serikali ipo kazini na inaendelea kufanyakazi ya kuwahudumia na kuwatumikia wananchi katika maeneo yote nchini na bila ya ubaguzi wa aina yoyote. Kadhalika, Majaliwa ametoa wito kwa wananchi waendelea kushirikiana katika kudumisha amani…
Waombaji mikopo ya elimu, tafuteni namba za NIDA mapema
Na Dk Reubeni Lumbagala, JamhuriMedia, Tanga Ni takwa la kisheria kwa waombaji wa mikopo ya elimu kupitia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) kuwa na namba ya utambulisho (National Identification Number-NIN) au kitambulisho cha uraia kutoka…
RPC Morcase atoa rai kwa wawekezaji kwa kuwa makini na kampuni za ulinzi
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Kamanda wa Polisi Mkoa wa Pwani, Kamishna Msaidizi wa Polisi Salim Morcase, ametoa rai kwa wawekezaji na wafanyabiashara kuona umuhimu wa kufunga kamera za ulinzi ndani na nje ya viwanda, kuwa makini na makampuni ya…
Waziri Mavunde azindua mradi wa matumizi ya umeme jua mgodini Igunga – Tabora
▪️Nishati ya umeme wa jua kupunguza gharama za uzalishaji kwa asilimia 65 migodini ▪️Aelekeza kufanyika mradi wa majaribio kwa wachimbaji wadogo ▪️Aipongeza Kampuni ya Madini Taur kwa matumizi ya Nishati safi na kupanua shughuli za mgodi Igunga,Tabora Imeelezwa kuwa mradi…
Waziri Mavunde azindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya TAMISA
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Katibu Mkuu Wizara ya Madini Injinia Yahya Samamba kwa niaba ya Waziri wa Wizara hiyo Bw.Anthony Mavunde amezindua kamati ya Masoko na Mawasiliano ya Taasisi ya Umoja wa Watoa Huduma katika Sekta ya Madini…





