Category: MCHANGANYIKO
Israel yafanya mashambulizi Gaza ikidai kuwalenga Hamas
Jeshi la Israel limesema limefanya hivi leo mashambulizi ya anga katikati na kusini mwa Gaza na kuwalenga wanamgambo waliokuwa wakijaribu kutega mabomu karibu na vikosi vyake vilivyoko katika ukanda huo. Taarifa hiyo imetolewa baada ya mamlaka za Palestina kusema kuwa…
JAB kusimamia pia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi
Na Mwandishi Wetu Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili Patrick Kipangula amesema mbali na kutekeleza majukumu ya msingi yaliyoainishwa kisheria, bodi hiyo itakuwa na wajibu wa kusimamia Mfumo wa Mafunzo kwa Waandishi wa Habari…
‘Kipaji pekee hakitoshi katika kufanya kazi za kihabari’
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari (JAB), imeweka bayana msimamo wa kisheria wa Sheria ya Huduma za Habari kuwa kipaji pekee hakitoshi kumfanya mtu afanye kazi za kihabari kama hajapitia katika taaluma ya…
Ni maono ya Dk Samia wananchi wote wapate umeme -Kapinga
📌 Asema wakati Serikali ya Awamu ya Sita inaingia madarakani Vijiji 4000 havikuwa na umeme 📌 Aitaka TANESCO na REA kuendelea kutoa elimu ya kuunganisha umeme 📌 Nishati ya umeme yauongezea ufanisi Zahanati ya Mang’oto Naibu Waziri Nishati, Mhe. Judith…