Category: MCHANGANYIKO
Kanati Kuu ya CCM yaridhia Peter Mashili kuvaaba na Bashe Jimbo la Nzega Mjini
Na Mwandishi Wetu Kamati kuu ya Chama cha Mapinduzi Taifa imempitisha Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya Mashili Company Limited ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Mradi wa Uchenjuaji Dhahabu wa (Matinje Mining, Msilale Mining na Igurubi Mining), Peter Andrea Mashili…
CCM yatangaza wagombea wake, baadhi ya vigogo waenguliwa, wasanii, wanahabari wapeta
Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia, Dodoma Chama cha Mapinduzi (CCM) kupitia Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo, CPA Amos Makalla, kimetangaza rasmi majina ya wagombea watakaoshiriki Uchaguzi Mkuu wa 2025 kwa nafasi za Ubunge wa Majimbo, Viti Maalum na Ujumbe…
Maadhimisho Siku ya Homa ya Ini Duniani, Waziri Mhagama awataka wananchi kuutokomeza
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea. Waziri wa Afya Jenista Mhagama ameitaka Jamii na wadau hapa nchini kuungana na Serikali katika mapambano dhidi ya homa ya Ini ili kuweza kuutokomeza ugonjwa huo kama ilivyo dhamira ya Serikali. Akizungumza katika Maadhimisho siku…





