JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Maria Sarungi ahusisha utekaji wake na ukosoaji wa Serikali ya Tanzania

Mwanaharakati maarufu wa Tanzania, Maria Sarungi, amehusisha tukio la kutekwa kwake nchini Kenya na msimamo wake wa kukosoa Serikali ya Tanzania. Akizungumza na waandishi wa habari jijini Nairobi baada ya kuachiwa huru, Maria alidai kuwa watekaji wake walionyesha nia ya…

Watoto mapacha wamuua mama yao mzazi

Watoto mapacha wawili Danford Steven Seif (24) na Daniel Steven Seif (24) wanadaiwa kumuua mama yao Upendo Mathew Mayaya (42) kwa sababu ya imani za kishirikina. Jeshi la Polisi mkoani Mtwara limethibitisha kuwakamata na kuwafikisha mahakamani mapacha hao ambao wote…

Waliokaidi ukaguzi magari ya shule wakamatwa Arusha

Na Mwandishi Jeshi la Polisi, Arusha Jeshi la Polisi kikosi cha usalama Barabarani kimesema kuwa baada ya kuhitimisha zoezi la ukaguzi wa magari ya shule (School Bus) kwa kipindi cha likizo ambacho kilitangazwa ili kuondoa usumbufu kwa wanafunzi wanaotumia vyombo…