Category: MCHANGANYIKO
Miradi ya maji inaendelea kujengwa nchini kote – Majaliwa
WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inaendelea na ujenzi wa miradi ya maji katika maeneo yote nchini ili kuhakikisha wananchi wanapata huduma hiyo karibu na makazi yao. Ameyasema…
Mtoto mchanga aliyeibiwa April 29 apatikana akiwa hai, atupwa pembeni mwa nyumba yao
Na Manka Damian, JamhuriMedia, Mbeya MTOTO wa jinsi ya kiume aliyeibiwa akiwa na akiwa na siku kumi na nne mkazi wa Mtaa wa Iyela One Kata ya Iyela Jijini Mbeya aliyeibwa na mtu asiyejulikana jioni Aprili 29,2025 muda mfupi baada…
Polisi yakamata watu wanne kwa wizi wa vifaa vya mradi miji 28
Na Manka Damian, JamhuriMedia,Mbeya WATU wanne wanashikiliwa na Jeshi la Polisi mkoani Mbeya kwa tuhuma za wizi wa vifaa vya mradi wa kimkakati wa maji wa Miji 28, kwa wizi wa mabomba 50, ya chuma na “levelling mashine” pamoja na…
JKCI kuwa kituo cha Umahiri cha matibabu ya moyo kwa watoto Afrika Mashariki na Kati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Jamhuri ya Watu wa China zimetia Saini mikataba miwili ya msaada wa jumla ya Yuan za China milioni 500, sawa na shilingi bilioni…




