Category: MCHANGANYIKO
CCM: Uchaguzi Serikali za Mitaa kutumia 4R za Rais Samia
CHAMA Cha Mapunduzi(CCM) kimesema uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Novemba 27,2024 utaongozwa na 4R za Rais Samia Suluhu Hassan hasa kwa kuzingatia kuheshimiana na kuvumiliana. Katibu wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi Taifa(CCM-NEC), Itikadi, Uenezi na Mafunzo…
TRC : Kusimama kwa treni ya mchongoko ni hujuma
TRC: KUSIMAMA KWA TRENI YA MCHONGOKO NI HUJUMA Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam SHIRIKA la Reli Tanzania (TRC) limeutaarifu umma kupuuza taarifa zinazosambazwa na baadhi ya watu kuhusu kusimama kwa treni za EMU, Electric Multiple Unit (mchongoko) pamoja…
Waziri Silaa mgeni rasmi mkutano wa nane wa Jukwaa la Wahariri kesho
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Jerry Silaa anarajiwa kuwa mgeni rasmi katika mkutano Mkuu wa nane wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF). Mkutano huo ambao unaanza kesho Alhamisi Novemba 07-09,…
Bei za Mafuta mwezi Novemba 2024 zaendelea kushuka
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma BEI za reja reja za mafuta kwa mwezi Novemba 2024 zimeendelea kushuka ambapo bei ya petroli kwa Dar es Salaam na Tanga imeshuka kwa asilimia 2.26 ambayo ni sawa na shilingi 68 kwa lita, huku…
DAWASA yakutana na wananchi Msakuzi kupata hatma huduma ya maji
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekutana na wananchi wa eneo la Msakuzi kwa Lubaba, Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kufahamu mipango na maendeleo ya miradi ya…
Serikali yaeleza jitihada inazochukua kuwezesha matumizi ya gesi kwenye magari
📌 Kapinga ataja msamaha wa kodi asilimia 25 kwa injini za magari yanayotumia gesi asilia iliyotolewa 2023/2024 📌 Aeleza Serikali ilivyojidhatiti kupeleka umeme kwenye maeneo yote nchini Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kupitia Bajeti Kuu Serikali ya…