JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DAWASA yakutana na wananchi Msakuzi kupata hatma huduma ya maji

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (DAWASA) imekutana na wananchi wa eneo la Msakuzi kwa Lubaba, Kata ya Mbezi, Wilaya ya Ubungo kwa lengo la kufahamu mipango na maendeleo ya miradi ya…

Serikali yaeleza jitihada inazochukua kuwezesha matumizi ya gesi kwenye magari

📌 Kapinga ataja msamaha wa kodi asilimia 25 kwa injini za magari yanayotumia gesi asilia iliyotolewa 2023/2024 📌 Aeleza Serikali ilivyojidhatiti kupeleka umeme kwenye maeneo yote nchini Naibu Waziri wa Nishati, Mhe Judith Kapinga amesema kupitia Bajeti Kuu Serikali ya…

‘Uchumi wa buluu una faida kubwa’

Mkurugenzi wa Idara ya Uvuvi kutoka Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Mohamed Sheikh amesema Uchumi wa Buluu unafaida kubwa katika kuinua uchumi wa taifa hivyo kila mmoja anapopata fursa ya kutoa ujuzi wake anatakiwa kufanya hivyo kwa faida ya…

Waziri Kombo atembelea maonesho ya kimataifa ya Biashara CUBA

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mahmoud Thabit Kombo tarehe 05 Novemba, 2024 ametembelea Maonesho ya Kimataifa ya Biashara yanayoendelea jijini Havana. Maonesho hayo yamewakutanisha wafanyabiashara wa ndani na Kimataifa ambao wanatangaza huduma na bidhaa zao…

Chande azindua misheni ya uangalizi wa Uchaguzi ya SEOM jijini Port – Louis

Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya SADC (SEOM) katika Uchaguzi Mkuu wa Mauritius Jaji Mkuu (Mstaafu) Mohammed Chande Othman, amezinduamisheni hiyo jijini Port-Louis, Mauritius, kwa niaba ya Mwenyekiti wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya SADC na…

Uraia pacha ni hatari kwa usalama wa taifa letu

Na John Haule, JamhuriMedia, Arusha Wengi tuliofika elimu ya sekondari tumejifunza kwa kiasi maana ya uraia na dhana ya uraia pacha( dual citizenship) na katika nchi yetu Tanzania uraia wa Tanzania unasimamiwa na sheria ya mwaka 1995 sura namba 357…