JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Vijana wawatupia lawama Wachina

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Mkuranga Baadhi ya vijana walioajiriwa katika viwanda vinavyomilikiwa na raia wa China wilayani Mkuranga, Pwani wameeleza changamoto wanazokutana nazo kazini, ikiwamo ukosefu wa mikataba, vifaa vya kujikinga pamoja na unyanyasaji wa kijinsia. Wakizungumza kwa nyakati tofauti,…

Serikali itaendeleza mikakati ya kukuza sekta ya mifugo- Majaliwa

 *Asisitiza kuwa mifugo ni uchumi, ajira na biashara *Atoa wito kwa wakulima na wafugaji wawe wamoja WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Serikali inaendelea kuweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha sekta ya mifugo inakuwa endelevu na yenye tija. Amesema kuwa Mheshimiwa…

PIC yaridhishwa na kasi ya ujenzi uwanja wa ndege Msalato

Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) imeridhishwa na maendeleo ya ujenzi wa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Msalato na kusema kuwa, uwanja huo ukikamilika utakuwa lango la uchumi kwa wananchi wa Dodoma na…

Kapinga azindua namba ya bure yabhuduma kwa wateja TANESCO

📌Awapongeza TANESCO kutekeleza agizo la Mhe. Dkt. Biteko kuwataka kuanzisha namba ya huduma kwa wateja bure 📌Asema namba hii ya 180 ya bure kwa wateja kuimarisha huduma kwa wateja na kutatua changamoto zao 📌Awaagiza Mameneja wa Mikoa na wilaya wa…

Dk Biteko mgeni rasmi mkutano wa 62 wa Bodi ya EITI Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Dokta Doto Mashaka Biteko anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa 62 wa bodi ya EITI utakaofanyika katika hoteli ya Gran Melia iliyopo jijiji Arusha kesho….

Tanzania na Urusi kushirikiana kuimarisha uhifadhi wa misitu kwa teknolojia za kisasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Tanzania imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na Urusi katika sekta ya misitu kwa lengo la kuboresha uhifadhi wa rasilimali zake kupitia teknolojia na mbinu za kisasa. Hayo yamejiri katika kikao kati ya Waziri wa Maliasili na…