Category: MCHANGANYIKO
Wawili wahukumiwa kifungo cha maisha jela, wanne miaka 30
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limepata mafanikio makubwa kufuatia kuhukumiwa kwa watuhumiwa kadhaa wa makosa ya kikatili ambao mashauri yao yalikuwepo katika Mahakama mbalimbali jijini Dar es Salaam. Kamanda…
Kaya 16, 275 kunufaika na majiko ya gesi ya ruzuku Mtwara
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara Mhe. Kanali Patrick Sawala amemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kupeleka mradi wa majiko ya gesi (LPG) ya kilo sita kwa bei ya ruzuku ya asilimia 50…
Madereva 30 wafungiwa leseni kwa kukutwa na kiwango kikubwa cha ulevi
Na Isri Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limetoa ripoti ya hali ya kiusalama barabarani katika kipindi cha sikukuu za Krismas na Mwaka Mpya. Akizungumza na wanahabari leo Januari 2, 2025, Kamanda…
MGORORO WA FAMILIA…Kaburi la Jenerali lafukuliwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Musoma Katika tukio la nadra, mgogoro ulioibuka kwenye familia ya marehemu Meja Jenerali Prof. Dk. Yadon Kohi, umesababisha kufukuliwa kwa mwili wake na kuzikwa upya katika kitongoji kingine.Tofauti na mazishi ya awali yaliyopambwa na taratibu za…
Rais Samia ameweza, sasa tunaingia mwaka wa fitina
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Dar es Salaam Leo ni Desemba 31, 2024. Tunaumaliza mwaka. Ikiwa unasoma makala hii, basi ujue nawe ni mmoja wa wateule wa Mungu alioendelea kuwajalia pumzi. Ni vema na haki tumshukuru Mungu kwa kuendelea kutujalia uhai,…
Nani kuwa mrithi wa Kinana CCM
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam NANI atakuwa makamu mwenyeki ti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara ni swali ambalo limeku wa likiulizwa na makada wa CCM na hata wafuatiliaji wa karibu wa siasa nchini, hasa mwaka huu…