Category: MCHANGANYIKO
SADC lamuunga mkono Rais wa IPU Dk Tulia
JUKWAA la Wabunge wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) limemuunga mkono Rais wa Umoja wa Mabunge ya Muungano (IPU), Dk Tulia Ackson kufuatia mijadala ya hivi karibuni kuhusu mkutano wake na Rais wa Urusi.Jukwaa la Wabunge, Roger Mancienne,…
Saccos ya Tume ya Madini yapata hati ya kuridhisha
COASCO yawafunda wanachama Na Vicky Kimaro, Dodoma TUME ya Madini Saccos imepata hati inayoridhisha katika ukaguzi wa Hesabu za Chama zinazoishia Desemba 31, 2023 baada ya kufanyiwa ukaguzi na Shirika la Ukaguzi na Usimamizi wa Vyama vya Ushirika (COASCO) Tanzania…
Wabunge wa EALA watakiwa kuweka maslahi ya umma mbele – Balozi Kombo
Wabunge wa Tanzania kwenye Bunge la Jumuiya ya Afrika Mashariki wamesisitizwa kuyabeba majukumu waliyopewa kwa uzito unaostahili, huku wakiweka mbele maslahi ya umma wakati wanatekeleza majukumu yao. Kauli hiyo imetolewa na Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika…
Balozi Nchimbi ajiandikisha kupiga kura Serikali za Mitaa, atoa wito watu kujitokeza kwa wingi
Na Mwandishi Maalum, Dodoma Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi amejiandikisha kwenye daftari la wakazi katika mtaa wake, eneo la Kilimani, jijini Dodoma leo tarehe 18, Oktoba 2024. Akizungumza baada ya kujiandikisha, Balozi Nchimbi…
Kampeni ya ‘Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa’ yazinduliwa
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Songea Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas Ahmed leo amezindua kampeni ya ‘Tuwaambie Kabla Hawajaharibiwa” yenye lengo la kuwaelimisha jamii kuhusu maswala ya ukatili wa kijinsia pamoja na kutoa taarifa kuhusu vitendo vya uhalifu…
Mufti awataka wananchi wajitokeze kujiandikisha daftari la wapiga kura
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania Alhaj Dkt Abubakar Zubeiry bin Ali amehimiza wananchi nchini kote kujitokeza kwa wingi kujiandikisha katika Daftari la Wapiga Kura la Uchaguzi wa Serikali za Mitaa ili waweze kutimiza haki yao kikatiba ya kuwachagua viongozi…