Category: MCHANGANYIKO
Tanzania, Canada kushirikiana kwenye kukuza ujuzi wa wadau sekta ya madini
▪️Watanzania kujengewa uwezo kwenye teknolojia ya uchimbaji na uchenjuaji madini ▪️Vyuo vya VETA kutumika kutoa mafunzo maalum ▪️Canada yaipongeza Tanzania kwa kukuza sekta ya madini ▪️Mpango wa Uwezeshwaji wa Vijana na wakina mama waungwa mkono 𝐓𝐨𝐫𝐨𝐧𝐭𝐨,𝐂𝐚𝐧𝐚𝐝𝐚 Waziri wa Maendeleo ya…
Balozi Ulanga aeleza Rais Samia alivyoing’arisha NFRA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula nchini (NFRA), Balozi John Ulanga amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini Rais Dkt Samia Suluhu Hassan umechangia mafanikio makubwa wakala kufanya…
MOI yafanikiwa kuanzisha huduma 10 za kibobezi, kuokoa fedha za matibabu nje ya nchi
Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Tiba ya Mifupa, ubongo, mgongo na mishipa ya fahamu (MOI) Balozi, Dkt. Mpoki Ulisubisya amesema Taasisi hiyo imefanikiwa kuanzisha huduma zaidi ya 10 za kibobezi ambazo hapo awali ziliwalazimu wagonjwa kuzifuata nje…
Majaliwa aweka jiwe la msingi ujenzi wa Bwawa la Kidinda
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa leo Machi 05, 2025 ameweka jiwe la msingi la ujenzi wa mradi wa Bwawa la Kidunga litakalokuwa na uwezo wa kuhifadhi maji lita bilioni 190 Ujenzi wa Bwawa hilo ambalo hadi kukamilika kwake litagharimu shilingi bilioni…
Wamiliki vituo vya kulelea watoto washauriwa kuwapeleka wafanyakazi Chuo cha Ustawi wa Jamii
Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Wamiliki wa vituo vya kulelea watoto wameshauriwa kuwapeleka wafanyakazi wao katika Chuo cha ustawi wa jamii kampasi ya Kisangiro wilayani Mwanga ili wakajifunze mbinu bora za malezi ya watoto wadogo na kuwezesha kuwa na watoto…
Tanzania yashiriki mkutano wa mawasiliano ya simu Hispania
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Jerry William Silaa , ameshiriki katika Mkutano wa Dunia wa Masuala ya Mawasiliano ya Simu (Mobile World Congress 2025) unaofanyika kuanzia tarehe 3 – 5 Machi 2025 katika mji wa…