Category: MCHANGANYIKO
Milioni 431.2 zawagusa wananchi waliokuwa taabani Chato
Na Daniel Limbe, JamhuriMedia, Chato ZAIDI ya shilingi milioni 431.2 zimetumika kwaajili ya kutekeleza mradi wa uchimbaji visima vitano kwenye vijiji vilivyokuwa na ukosefu mkubwa wa maji safi na salama kwenye Jimbo la Chato mkoani Geita. Huo ni mpango mkakati…
Serikali yasisitiza uanzishwaji vyama vya ushirika Lindi, Mtwara
Na Christopher Iilai, JamhuriMedia, Lindi Serikali imesitisha uazishaji wa vyama vya ushirika kwa mikoa ya Lindi na Mtwara na badala yake vyama vilivyopo vijikite katika kujihimarisha kiuchumi ile viweze kuiiendesha. Hayo yamesemwa na Mrajis wa vyama vya ushirika nchini,Dr Benson…
Tukimsikiliza Dk. Nchimbi, kesi ya Lissu itafutwa
Na Deodatus Balile, JamhuriMedia, Nairobi Wiki iliyopita sikuandika katika safu hii. Sikuandika si kwa sababu nyingine bali hekaheka za uchaguzi wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), ambapo nawashukuru wanachama wa TEF kwa heshima kubwa waliyonipa ya kunichangua kwa kishindo bila…
Masauni azindua bodi mpya NEMC na kuipa maagizo 7
Na Mwandishi Wetu, JammhuriMedia, Dodoma WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) ameiagiza Bodi mpya ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kushughulikia changamoto ya ukuaji wa haraka wa miji (urbanization) ili…
TMA yapewa tano kuboresha taarifa za hali ya hewa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA), imepongezwa kwa uboreshwaji wa utabiri wa hali ya hewa na taarifa za tahadhari za matukio ya hali mbaya ya hewa nchini. Hayo yamesemwa na Mhe. Dkt. Rozalia Rwegasira,…
Rais Samia amwaga bilioni 45/- kutatua tatizo la maji Jiji la Dodoma
▪️Mradi wa visima 10 Nzuguni A kuzalisha lita 20m kwa siku ▪️Visima zaidi kuchimbwa maeneo ya pembezoni ya Jiji kupunguza Mgao ▪️Waziri Aweso aweka kambi Dodoma kushughulikia suala la Maji ▪️Mbunge Mavunde apongeza jitahada za serikali kutatua kero ya maji…





