JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Tanzania, Belarus zafungua ukurasa mpya wa ushirikiano

Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kassim Majaliwa Majaliwa amesema ziara yake nchini Belarus ambayo ni ya kwanza ya ngazi ya juu tokea nchi hizo zilipoanzisha uhusiano wa kidiplomasia mwaka 1996, imefungua mwanzo mpya wa ushirikiano katika maeneo ya kimkakati yenye…

Majaiwa akutana na Waziri Mkuu wa Belarus

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amekutana na Waziri Mkuu wa Belarus, Alexander Turchin na kujadiliana naye masuala ya uwekezaji, biashara, nishati, madini, elimu, afya, teknolojia na kilimo kwenye kikao kilichofanyika leo (Jumanne, Julai 22, 2025) ofisini kwa mwenyeji wake, mtaa wa…

Rais mstaafu Msumbiji awasili Mtwara kumbukizi ya hayati Mkapa

RAIS Mstaafu wa Jamhuri ya Msumbiji, Filipe Jacinto Nyusi amewasili hapa nchini katika Mkoa wa Mtwarakwa ajili ya kuelekea Lupaso wilayani Masasi kwenye Kumbukizi ya kifo cha aliyekuwa Rais wa awamu ya tatu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania hayati…

Maonyesho ya GEL yafungua milango ya mafanikio kwa wanafunzi wa Kitanzania

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam MAMIA ya wanafunzi wanaotaka kusoma kozi mbalimbali nje ya nchi wamejitokeza kwenye maonyesho ya vyuo vikuu nje ya nchi ambapo wengi wamepata udahili wa papo kwa papo. Maonyesho hayo yaliyofanyika jana jijini Dar…

Balozi Hamad akutana na Balozi wa Malawi, waweka mikakati ya ushirikiano

Hamad Khamis Hamad, Balozi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania nchini Msumbiji alikutana na Wezi Moyo, Balozi wa Jamhuri ya Malawi nchini Msumbiji kwa lengo la kujitambulisha na kuzungumza masuala mbalimbali ya ushirikiano baina ya Tanzania na Malawi. Balozi Moyo…

Waziri Mavunde akagua maendeleo ujenzi wa jengo la ghorofa nane la TGC Arusha

Na Happy Lazaro, JamhuriMedia, Arusha Waziri wa Madini, Anthony Mavunde, amesema kuwa zaidi ya sh. Bilioni 33 zinatarajiwa kukamilisha mradiwa jengo la TGC Arusha. Waziri Mavunde ameyasema leo jijini Arusha alipotembelea eneo la ujenzi wa jengo la kisasa la ghorofa…