Category: MCHANGANYIKO
Global Education Link yaanza kusafirisha wanafunzi nje ya nchi
Na Mwandishi Wetu WANAFUNZI 100 wamesafiri kwenda kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchini India kwa mwaka huu wa masomo kupitia Global Education Link. Meneja Mkuu wa GEL, Regina Lema alisema taasisi hiyo imekuwa na kawaida ya kuwasindikiza wanafunzi hao hadi kwenye…
Kitila Mkumbo, Angellah Kairuki warudisha fomu kwa mtindo huu
……………………………………… Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kibamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Mhe. Angellah Kairuki, amerudisha rasmi fomu ya uteuzi kwa Tume Huru ya Uchaguzi (INEC), hatua muhimu kuelekea kuteuliwa rasmi kugombea ubunge katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwaka huu….
Watoto wawili wauawa kwa risasi kanisani Marekani
Shirika la upelelezi la Marekani FBI limeanzisha uchunguzi dhidi ya kisa cha mtu aliyekuwa na bunduki kuua watoto wawili kanisani kwa kuwapiga risasi. Kisa hicho kimetokea jana Jumatano katika kanisa la Kikatoliki huko Minneapolis ikiwa ni wiki ya kwanza ya…





