JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Samia: Vyombo vya ulinzi vimejipanga

Mgombea urais wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Samia Suluhu Hassan amesema vyombo vya ulinzi na usalama vimejipanga vizuri wakati wa uchaguzi na baada ya uchaguzi.Rais Samia ametoa kauli hiyo wakati akihutubia maelfu ya wananchi wa majimbo Kivule, Segerea, Ukonga…

Mwenyekiti CHADEMA Kanda ya Kusini akimbilia CCM

Mwenyekiti wa Chadema Kanda ya Kusini na Mjumbe wa Kamati Kuu, Abeid Mayala amejiondoa kwenye chama na kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mayala amejiunga na CCM wakati wa mkutano wa kampeni za mgombea urais wa chama,Samia Suluhu Hassan kwenye…

Tanzania kubeba sauti ya Afrika COP30, Nishati Safi yapewa kipaumbele

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma TANZANIA kwa nafasi yake ya Uenyekiti wa Kundi la Majadiliano la Afrika kuhusu Mabadiliko ya Tabianchi (AGN) itaongoza na kubeba sauti ya pamoja ya vipaumbele vya Bara la Afrika wakati wa Mkutano wa 30 wa…

Utekelezwaji mradi wa HEET umechochea ubunifu na maendeleo endelevu sekta ya elimu ya juu

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kimesema utekelezaji wa Mradi wa Elimu ya Juu kwa Uchumi wa Kidigitali (HEET) umefungua ukurasa mpya wa mageuzi katika elimu ya juu nchini, ukichochea ubunifu, utafiti…