Category: MCHANGANYIKO
Fanyeni kampeni za kistarabu kunadi sera epukeni matusi
Na Magrethy Katengu,Jamhuri MediaDar es Salaam Msajili wa Vyama vya Siasa, Jaji Francis Mutungi, amewataka viongozi wa vyama vya siasa nchini kuhakikisha kampeni za Uchaguzi Mkuu wa 2025 zinafanyika kwa kistaarabu, bila kutumia lugha za matusi, kashfa au vitendo vyovyote…
Umoja na mshikamano vyatawala hotuba za viongozi mkutano wa SADC
Mkutano wa Wakuu wa Nchi wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) umehitimishwa jijini Antananarivo Agosti 17, 2025, huku viongozi hao wakihimizana, umoja, mshikamano na ushirikiano kama njia ya msingi ya kujikwamua kiuchumi na kukabiliana na changamoto zinazoibuka kila…
Kikwete: Serikali kusaini muongozo wa kima cha chini cha mshahara kwa sekta binafsi
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Arusha SERIKALI imesema hivi karibuni inatarajia kusaini kuwa Sheria miongozo Wa kima cha chini Cha mshahara kwa TaasisiI binafsi zinazofanywa kazi nchini. Imesema katika miongozo huo inatarajia kuainisha viwango vipya vya mshahara ambapo wafanyakazi Wa sekta…
Polisi Pwani yakamata watu 10, watatu wanawake kwa tuhuma za kupanga uhalifu
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Pwani Jeshi la Polisi mkoani Pwani linawashikilia watu kumi, wakiwemo wanawake watatu, wakidaiwa wakikusudia kukusanyika na kupanga njama za kufanya uhalifu. Watuhumiwa hao wamekamatwa agost 16,2025 katika Ukumbi wa Mwitongo, uliopo Kata ya Mailimoja, Halmashauri ya…





