JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Majaliwa azindua kampeni za ubunge jimboni Mchinga

*Asema Rais Samia anatosha, aomba wananchi kumchagua kwa kishindo*Asema Salma Kikwete ana uwezo na dhamira ya kuwatumikia wananchi wake Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Lindi Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amezindua kampeni za Mgombea wa Ubunge wa Jimbo la Mchinga, Salma Kikwete,…

Zaidi ya wanafunzi 100 kundi la pili wakabidhiwa VISA na vitabu vya muongozo na GEL

Na Mwandishi Wetu KUNDI la pili la wanafunzi 100 wanatarajia kuondoka wiki ijayo kusoma kwenye vyuo vikuu mbalimbali nchi za nje mwaka huu wa masomo kupitia Wakala wa Vyuo Vikuu Nje ya nchi Global Education Link (GEL). Wanafunzi hao waliagwa…

Waziri Mkuu akutana na balozi wa Tanzania nchini Japan

WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa amemtaka balozi wa Tanzania Nchini Japan Anderson Mutatembwa kusimamia utekelezaji wa sera ya mambo ya nje ikiwa ni pamoja na kudumisha diplomasia ya uchumi kwa kuhamasisha uwekezaji na upatikanaji wa masoko wa bidhaa za ndani. “Ni jukumu lako kwenda kutangaza fursa zilizopo hapa nchini,…

Bilioni 51 kutumika ujenzi wa barabara, masoko na stendi jijini Arusha

Na Mwandishi Wetu MRADI wa Uendelezaji wa Miji na Majiji Tanzania (TACTIC) unatekeleza miradi yenye thamani ya shilingi bilioni 51 katika Jiji la Arusha ikiwa ni sehemu ya uendelezaji wa Jiji hilo katika eneo la miundombinu ya barabara, masoko na…

Mnada wa PIKU waendelee kutoa bidhaa mbalimbali za kisasa kwa washindi

JUKWAA la Kidijitali la PIKU linaloendesha minada ya kipekee mtandaoni, limetangaza na kukabidhi zawadi kabambe kwa watu watatu walioibuka washindi kwa kujipatia bidhaa za kisasa na za thamani kupitia mnada huo. Mshindi wa kwanza katika mnada huo ni Jenipher Ayoub,…