Category: MCHANGANYIKO
Tanzania, Zambia zakutana kujadili mpango kazi uimarishaji mpaka wa kimataifa
Na Munir Shemweta, WANMM SONGWE Kikao cha Kamati ya pamoja cha wataalamu wa Tanzania na Zambia kimeanza mkoani Songwe nchini Tanzania kujadili mpango kazi wa uimarishaji mpaka wa kimataifa baina ya nchi hizo. Kikao hicho kimeanza tarehe 5 Mei 2025…
Mama Ulega akabidhi gari, vifaa vya ujasiriamali kwa UWT Pwani
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Rufiji Mwenyekiti wa Umoja wa Wanawake Tanzania (UWT) Taifa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CCM (MCC), Mary Chatanda, amepokea mradi mkubwa wa vifaa vya ujasiriamali wa upishi na gari jipya kwa ajili ya kuimarisha utendaji…
Tanzania na mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi
Serikali ya Tanzania imetangaza mageuzi makubwa ya sekta ya ardhi yanayolenga kuboresha usimamizi, kuchochea ukuaji wa uchumi, na kulinda haki za wananchi wake. Akizungumza katika siku ya pili Mkutano wa Kimataifa wa Sekta ya Ardhi ulioandaliwa na Benki ya Dunia…
Marekani, China kuanza mazungumzo kuhusu vita vya kibiashara
MAAFISA wa Marekani na China wanatazamiwa kuanza mazungumzo wiki hii ili kujaribu kupunguza vita vya kibiashara kati ya mataifa hayo mawili yenye uchumi mkubwa duniani. Naibu Waziri Mkuu wa China He Lifeng atahudhuria mazungumzo hayo nchini Uswizi kuanzia tarehe 9…
Mvua yaleta maafa Moshi, watatu wafariki kwa kuagukiwa na nyumba wakiwa wamelala
Na Kija Elias, JamhuriMedia, Moshi Watu watatu wamefariki dunia baada ya nyumba waliyokuwa wakiishi kubomoka kufuatia mvua kubwa zinazoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali ya mkoa wa Kilimanjaro. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mkuu wa Wilaya ya Moshi Godfrey…





