Category: MCHANGANYIKO
Waziri Mkuu aelezwa faida za kilimo ikolojia
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga WADAU wa Kilimo Ikolojia nchini wamemueleza na kumuoneshaWaziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa faida za kilimo ikolojia katika kujenga taifa lenye jamii na mazingira endelevu. Waziri Mkuu Majaliwa amepata maelezo hayo baada ya kutembelea banda…
Serikali yaitaka NIDA kuboresha utendajikazi, yaipatia magari 140
Serikali imeipatia Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA) magari mapya 140 ili kuboresha zaidi utendaji kazi wa Mamlaka hiyo, hatua ambayo imepokelewa kwa mikono miwili na hasa ikizingatiwa kuwa miongoni mwa changamoto kubwa zlizokuwa zikiikabili Mamlaka hiyo ilikuwa ni uhaba…
Dk Mpango amwakilisha Rais Samia mkutano wa SADC
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Mpango ameshiriki Mkutano wa Dharura wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Asasi ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC-Organ Troika Summit)…
Polisi Pwani yachunguza mauaji ya watu wanne, miili yakutwa pembezoni mwa barabara
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Jeshi la Polisi mkoani Pwani linachunguza tukio la kutatanisha baada ya miili ya watu wanne wasiojulikana kupatikana pembezoni mwa barabara ya kutoka Mapinga kuelekea Kibaha, katika maeneo ya Kidimu-Vingunguti, wilayani Kibaha. Kwa mujibu wa Kamanda…
Wakulima wadogo zaidi ya 747 kunufaika na mradi wa umwagiliaji Geita
NIRC – Geita Zaidi ya wananchi 747 wanatarajiwa kunufaika na mradi wa uchimbaji visima vya Umwagiliaji 36 unaotekelezwa katika kijiji cha Mwilima Mkoani Geita, ambapo visima hivyo vitamwagilia zaidi ya ekari 1440 katika vijiji 32, lengo ikiwa ni kuongeza uzalishaji…
Vijana 50 wapatiwa elimu ya mpiga kura
Na Aziza Nangwa, JamhuriMedia, Dar es Salaam Zaidi ya vijana 50 kutoka vyuo vikuu na sekta mbalimbali wamepatiwa elimu ya mpiga kura ili kuongeza uelewa kuhusu umuhimu wa kushiriki katika uchaguzi na kuchagua viongozi bora watakaoliongoza taifa kwa amani na…





