JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Dk Mpango aipongeza TANAPA kwa kuvitangaza vituo vya utalii ndani na nje

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango, amelipongeza Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA) kwa jitihada kubwa za kulinda maliasili na kuvitangaza vivutio vyake vya utalii ndani na nje ya nchi na kuiheshimisha nchi…

Taifa kukamilisha mwelekeo wa Maendeleo, Dira ya 2025 kukamilika Julai 17, mwaka huu

Na Dotto Kwilasa,JamhuriMedia,Dodoma Tanzania imefikia hatua muhimu ya kupanga mustakabali wake wa muda mrefu baada ya kukamilika kwa maandalizi ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050, ambayo inatarajiwa kuzinduliwa rasmi na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe….

TCU yafungua dirisha la udahili kwa waombaji Shahada ya kwanza

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Tume ya Vyuo Vikuu Tanzania (TCU) imefungua dirisha la maombi ya udahili kwa waombaji wa shahada ya kwanza kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Akizungumza na waandishi wa habaru leo Julai 15, 2025 jijini…

Madini, Bomba la Mafuta na bandari vyageuza Tanga kuwa kitovu cha maendeleo

Na Dotto Kwilasa, JamhuriMedia,Dodoma Sekta ya madini imeendelea kuwa kichocheo kipya cha maendeleo kwa Mkoa wa Tanga, ambapo wananchi katika maeneo mbalimbali wameanza kunufaika na shughuli za utafutaji, uchimbaji na biashara ya madini. Kupitia usimamizi madhubuti wa Serikali ya Awamu…

Mradi wa Sequip wapeleka neema Geita

Na Mwandishi Wetu, Geita Kupitia Mradi wa kuboresha Ubora wa Elimu Sekondari (SEQUIP) wananchi mkoani Geita wamenufaika na miundombinu ya ujenzi wa shule mpya mbili za sekondari zitakazorahisisha upatikanaji wa huduma za elimu mkoani humo. Shule hizo ni pamoja na…

RC Sirro: Nitawapigia wahalifu walionibip

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, Simon Sirro amesema atawapigia wahalifu waliombipu kutokana na kukasirishwa na kitendo cha kuteka magari kilichotokea wilayani Kibondo mwishoni mwa wiki iliyopita na kwamba hatua madhubuti zimechukuliwa kukabiliana na wale wote…