JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Waziri Mkuu amwakilisha Rais Dk Samia mazishi ya hayati Ndugai, aliimarisha ushirikiano

Atoa rai kwa Watanzania kuenzi mema yote aliyoyafanya enzi za uhai wake Waziri Mkuu Kassim Majaliwa leo Agosti 11, 2025 amemwakilisha Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan katika mazishi ya Spika mstaafu wa Bunge la Tanzania, Job Yustino Ndugai, yaliyofanyika…

CCM yatafuta bilioni 100 za kampeni, kufanya harambee kesho

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimepanga kufanya harambee kwa ajili ya kutafuta shilingi Bilioni 100 za kampeni kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 2025. Akizungumza na waandishi wa habari leo jijini Dar es Salaam Katibu…

Dk Biteko ashiriki mazishi ya Spika Mstaafu Ndugai

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko leo Agosti 11, 2025 ameshiriki mazishi ya Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Job Yustino Ndugai yaliyofanyika katika Kijiji cha Sujulile, wilayani Kongwa, Mkoa…

REA yazidi kuhamasisha nishati safi, yatoa bilioni 4.37 kwa JKT

📌JKT yaipongeza REA utekelezaji wa miradi ya nishati safi 📌REA yaiwezesha JKT asilimia 76 ya miradi ya nishati safi 📌Watumishi 7,000 wa JKT kupatiwa Mtungi wa kilo 15 wa LPG pamoja na Jiko lake la sahani mbili kila mmoja 📍Makutupora…

Wanawake kuwania kiti ya urais kupitia chama cha UMD, wachukua fomu

Mwenyekiti wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa JacobsMwambegele akimkakabidhi mkoba wenye fomu za kuomba kuteuliwa kuwa Mgombea wa Kiti cha Rais na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia tiketi ya…

Maswi aitaka RITA kuendelea kuwekeza kidijitali ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Katibu Mkuu wa Wizara ya Katiba na Sheria, Bw. Eliakim Maswi, ameitaka Wakala wa Usajili, Ufilisi na Udhamini (RITA) kuendelea kuwekeza zaidi katika mifumo ya kisasa ya kidijitali ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi popote walipo….