Category: MCHANGANYIKO
Kilo 37,197 za dawa za kulevya zakamatwa na DCEA, 64 mbaroni
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam KILO 37,197.142 za dawa za kulevya zimekamatwa na Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA), katika kipindi cha mwezi Mei hadi Julai mwaka huu. Hayo yamesemwa leo na Kamishna Jenerali…
Norland na mkakati wa kuenea nchi nzima
Na Mwandishi wetu, Jamhuti, Media, Dar es Salaam Katika hali inayoonesha bidhaa zake kukubalika na watanzania wengi kampuni ya Norland Tanzania ambayo makao makuu yake yapo nchini Chna,imejipanga kujitanua na kuhakikisha inaendelea kutoa elimu kuhusiana matumizi ya bidhaa zao za…
CBE na SWUFE ya China wasaini ushirkiano wa kitaaluma
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Elimu ya Biashara (CBE), kimesaini makubaliano na Chuo Kikuu cha Fedha na Uchumi cha Kusini Magharibi mwa China (SWUFE) kuimarisha ubadilishanaji wa ujuzi, utafiti wa pamoja, na fursa za mafunzo kwa…
Majaliwa aitaka TRA kuendelea kuongeza ufanisi ukusanyaji kodi
*Awapongeza kuvuka lengo 2024- 2025 *TRA yarejesha Shilingi Trilioni 1.2 kwa walipa kodi kiwango kikubwa kuwahi kutokea. WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa ameitaka Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuongeza usimamizi wa ukusanyaji wa kodi kwa wafanyabiashara ikiwemo wa mataifa ya nje…
NIT yaanza kutoa mafunzo ya urubani, yawataka vijana kuchangamkia fursa
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam CHUO cha Taifa cha Usafirishaji (NIT) kimeanza rasmi kutoa mafunzo ya urubani kwa vitendo kwa vijana wa Kitanzania, huku kikisisitiza kuwa kina vifaa vya kisasa na wataalamu waliobobea katika nyanja hiyo. Akizungumza katika…
Sagini: Huduma ya Msaada wa Kisheria kwa wananchi kupatiwa kipaumbele
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam NAIBU Waziri wa Katiba na Sheria, Jumanne Sagini, amesema kuwa huduma ya msaada wa kisheria ni muhimu kwa Watanzania na Wizara yake inafanya jitihada kuhakikisha huduma hiyo inakuwa endelevu kwa manufaa ya wananchi….





