Category: MCHANGANYIKO
Ndejembi amaliza mgogoro uliodumu kwa miaka 30
Na Mwandishi Wetu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Deogratius Ndejembi amemaliza mgogoro baina ya Wamiliki wa Shamba la Sisal Estate na Wananchi 400 wa Kata ya Kwashemshi Wilaya ya Korogwe mkoani Tanga uliodumu kwa zaidi ya miaka…
Majaliwa: Ubora wa miradi uwiane na thamani ya fedha
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa ametoa wito kwa wasimamizi wa miradi inayotekelezwa na Serikali ikiwemo ya elimu kuhakikisha inakamilika kwa wakati na kwa ubora unaolingana na thamani ya fedha iliyotolewa. Ametoa wito huo leo wakati wa ufunguzi wa Skuli ya Sekondari…
Mawakili Tabora walaani kuzuiwa kutekeleza kazi zao
Na Allan Kitwe, JamhuriMedia, Tabora MAWAKILI wa Chama Cha Wanasheria Tanganyika (TLS) mkoani Tabora wamelaani vikali kitendo cha kuzuiwa kutekeleza majukumu yake mmoja wa wanachama wake alipokuwa akifuatilia masuala ya wateja wake waliokamatwa. Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jana…
Wanafunzi 86 St Anne Marie Academy wachaguliwa shule za vipaji maalum
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia WANAFUNZI 86 kati ya 156 wa shule ya St Anne Marie Academy ya Mbezi Kimara kwa Msuguri jijini Dar es Salaam waliohitimu darasa la saba wamechaguliwa kujiunga na shule za vipaji maalum. Mkuu wa shule hiyo,…
Rais Mwinyi afungua Skuli ya Sekondari Tumbatu
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Zanzibar Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Hussein Ali Mwinyi ameifungua Skuli ya Kwanza ya Ghorofa Kisiwani Tumbatu iliyogharimu Shilingi Bilioni 7.015. Akizungumza na wananchi baada ya kuifungua Skuli hiyo ya Sekondari…