JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Wakati umefika wa Afrika kubadilika kwa kutumia nishati safi ya kupikia – Rais Samia

📌 Asema Ajenda ya Nishati Safi ya Kupikia inalenga zaidi Wanawake Afrika 📌 Atilia mkazo Taasisi zinazolisha Watu kuanzia 100 kutumia Nishati Safi ya Kupikia Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Namtumbo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia…

Waendesha baiskeki kumuenzi Mwalimu Nyerere

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Jumuiya ya waendesha baiskeli ijulikanayo kama Twende Butiama imepanga kumuenzi hayati Mwalimu Julius Nyerere kupitia ya Kampeni Kuendesha Baiskeli. Maadhimisho hayo ya kumuenzi hayati Nyerere yanafanyika mwaka huu ikiwa ni msimu wake wa…

WWF wakutana na wadau kujadili na kuboresha utekelezaji wa Uhifadhi Bioanuai

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Ofisi ya makamu wa Rais, Kitengo cha Mazingira wakishirikiana na Shirika la Uhifadhi Mazingira Duniani (WWF) ,wamekutana na wadau mbalimbali jijini Morogoro kujadili namna ya kuboresha rasimu ya mpango mkakati wa uhifadhi bionuai nchini. Akizungumza…

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania atembelea Msumbiji

Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Tanzania, Jenerali Jacob John Mkunda amefanya Ziara ya Kikazi nchini Msumbiji kuanzia tarehe 23 hadi 27 Septemba, 2024. Wakati wa ziara hiyo, pamoja na masuala mengine, Jenerali Mkunda alitembelea Ubalozi wa Tanzania uliopo Jijini Maputo…

Biden awaalika viongozi wa dunia kwenye mkutano kuhusu Ukraine

Rais wa Marekani Joe Biden anawaalika viongozi kuhudhuria mkutano kuhusu Ukraine nchini Ujerumani kuratibu juhudi za nchi zaidi ya 50 zinazoiunga mkono Ukraine katika kujilinda dhidi ya uvamizi wa Urusi. Taarifa hiyo imetangazwa na Ikulu ya Marekani kwamba mkutano huo…

Palestina: Acheni kuipatia Israel silaha

Rais wa Mamlaka ya Palestina Mahmoud Abbas akihutubia Mkutano wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa mjini New York, Marekani ametoa wito wa kutipatia Israel silaha. Mkutano huo wa mjini New York kwa kiasi kikubwa umetawaliwa na wasiwasi kuhusu vita…