Category: MCHANGANYIKO
PURA endeleeni kuwavutia wawekezaji shughuli za utafutaji mafuta na gesi – Kapinga
📌Ataka Duru ya Tano ya kunadi vitalu vya utafutaji wa mafuta na gesi asilia kuwa na matokeo chanya 📌Aipongeza PURA kuwashirikisha Watumishi kujadili mipango ya Bajeti ya Taasisi MOROGORO Naibu Waziri wa Nishati, Mhe. Judith Kapinga ameielekeza Mamlaka ya Udhibiti…
DCEA yateketeza ekari 336 za mashamba ya bangi Kondoa, 114 wakamatwa
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dodoma Mamlaka ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi na usalama, imeteketeza ekari 336 za mashamba ya bangi yaliyokuwa ndani ya hifadhi ya Ikome wilaya ya Kondoa mkoani…
Tanzania, Misri kushirikiana kukuza sekta ya utalii
Na Happiness Shayo-, JamhuriMedia, Dar es Salaam Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Jamhuri ya Kiarabu ya Misri, zimekutana kujadiliana namna bora ya kushirikiana katika kukuza na kuendeleza utalii baina ya nchi hizo mbili. Hayo yamejiri leo Februari…
Teknolojia mawimbi ya sauti kutumika upasuaji ubongo
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Ubongo Muhimbili (MOI) inatarajia kuanza kufanya upasuaji wa ubongo kwa kutumia mawimbi ya sauti. Hatua hiyo inaifanya hospitali hiyo kuwa ya kwanza kwa nchi Kusini mwa Jangwa…
Biteko aipongeza EWURA kuleta utulivu kwenye nishati
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Tanga Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Mashaka Biteko, ameipongeza Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), kwa usimamizi thabiti wa huduma za nishati na maji nchini ambao ameeleza kuwa…
‘Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali imeamua kuwafikia wananchi walipo’
Mkuu wa mkoa wa Mwanza Saidi Mtanda amezindua Kamati ya Ushauri wa Kisheria ya Mkoa wa Mwanza tarehe 17 Februari 2025 na kufuatiwa na Kliniki ya Sheria bila malipo kwa wananchi wa Mkoa wa Mwanza inayoanza Februari 17 hadi 23,…