Category: MCHANGANYIKO
Msigwa aipongeza Wizara ya Nishati usimamizi madi wa JNHPP
๐ Asema mradi umefikia asilimia 99.8 ๐ Awaasa watanzania kujivunia mradi wa Julius Nyerere Katibu Mkuu Wizara ya Habari Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa ameipongeza Wizara ya Nishati kwa usimamizi wa mradi wa kimkakati…
Dk Biteko awahimiza Watanzania kuliombea taifa
๐ Asema amani ya nchi ilindwe kwa wivu mkubwa ๐Asisitiza uchaguzi Mkuu wa Oktoba usiligawe Taifa ๐Asema Watanzania waendelee kumuombea Rais Samia kwa kazi nzuri anazofanya ๐ Serikali kuboresha mipango yake kulingana na mahitaji ya dunia Na Ofisi ya Naibu…
Watoto chini miaka miwili wakeketwa longido,wataka adhabu kali
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Longido Serikali imeombwa kufanya maboresho ya sheria ya Ukatili wa Kijinsia ili kutoa adhabu kali kwa wanaokeketa watoto baada ya kubainika kuibuka mbinu mpya ya kukeketa watoto wa kike wakiwa chini ya miaka miwili wilayani Longido,mkoa…
Rais Dk Mwinyi apokewa kwa kishindo Pemba
*Wanachama 2,439 wa ACT wajiunga na CCM Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi amezisisitiza Jumuiya za Chama Cha Mapinduzi kuwahamasisha Wanachama na Wananchi kujiandikisha na kujitokeza kwa Wingi kupiga Kura ili CCM ishinde kwa Kishindo. Dkt. Mwinyi ambae…
Wakulima wajipatia bilioni 347 kutoka NAFRA
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Wakulima wa Tanzania wanaozalisha mazao ya chakula na kuyauza kwa Wakala wa Taifa wa Uhifadhi wa Chakula Nchini (NFRA) wamelipwa bilioni 347 katika miezi minane iliyopita — kuanzia mwezi Julai 2024 hadi mwezi…
TPA yatwaa tuzo ya ‘ e-GA’ kwa matumizi bora ya Tehama
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMesia, Dar es Salaam Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) imeibuka mshindi wa tatu katika kundi la taasisi za Umma zinazozingatia na kufuata miongozo na kanuni za Mamlaka ya Serikali Mtandao (e-Ga) katika uendeshaji na usimamizi…