Category: MCHANGANYIKO
Naibu Waziri Kigahe azindua Maonyesho ya Nishati Dar
Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Pazia la maonyesho rasmi ya nishati kwa mwaka 2024 yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaa ambapo yanakuwa ni maonyesho ya nane tangu yalipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2017. Hafla ya ufunguzi…
JKCI yaendelea kuwa kivutio utalii tiba Afrika
Madaktari wake waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya afya umeendelea kuipaisha Tanzania ambapo sasa madakati bingwa wanne wa Taasisi ya Moyo ya…
Samia afungua jengo la Halmashauri ya Mbinga Vijijini, awapongeza viongozi kwa usimamizi
Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk.Samia Suluhu Hassan ameridhishwa na ujenzi wa Jengo la kisasa la ghorofa moja la Halmashauri ya wilaya ya Mbinga ambalo limejengwa kwa shilingi bilioni 3.3 hadi kukamilika kwake….