JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Naibu Waziri Kigahe azindua Maonyesho ya Nishati Dar

Na Lookman Miraji, JamhuriMedia, Dar es Salaam Pazia la maonyesho rasmi ya nishati kwa mwaka 2024 yamezinduliwa rasmi leo jijini Dar es Salaa ambapo yanakuwa ni maonyesho ya nane tangu yalipofanyika kwa mara ya kwanza mwaka 2017. Hafla ya ufunguzi…

JKCI yaendelea kuwa kivutio utalii tiba Afrika

Madaktari wake waitwa Zambia kufanya upasuaji wa moyo Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Uwekezaji mkubwa uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan kwenye sekta ya afya umeendelea kuipaisha Tanzania ambapo sasa madakati bingwa wanne wa Taasisi ya Moyo ya…

Samia afungua jengo la Halmashauri ya Mbinga Vijijini, awapongeza viongozi kwa usimamizi

Na Cresensia Kapinga, JamhuriMedia, Mbinga Rais  wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania  Dk.Samia Suluhu  Hassan  ameridhishwa na ujenzi wa Jengo la kisasa la ghorofa moja la Halmashauri ya wilaya ya  Mbinga  ambalo limejengwa kwa shilingi bilioni 3.3 hadi kukamilika kwake….