JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

Mbaroni kwa kudaiwa kukutwa na kura bandia

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kigoma Polisi mkoani Kigoma imemtia mbaroni mtu mmoja anayetuhumiwa kukutwa na karatasi za kupigia kura akiwa na nia ya kuziingiza kwenye kituo cha kupigia kura ili ziingizwe kwenye boksi la kura. Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma,Filemon…

Kapinga : Nimepiga kura, nimetimiza haki yangu ya kikatiba

📌 Aungana na Wananchi kuchagua Viongozi Kitongoji cha Mheza 📌 Ahimiza Watanzania kuendelea kujitokeza kupiga kura Naibu Waziri wa Nishati Mhe. Judith Kapinga leo ameshiriki zoezi la kupigakura katika Kitongoji cha Mheza kijiji cha Mkumbi Halmashauri ya Mbinga Vijijini ili…