JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Category: MCHANGANYIKO

DC Kibaha afungua Baraza Kuu la Wafanyakazi Dawasa

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Kibaha MKUU wa Wilaya ya Kibaha, Nickson Simon amefungua kikao cha Baraza Kuu la Wafanyakazi wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA). Akifungua kikao hicho katika Shule ya Uongozi ya Mwalimu…

Umeme wa Jotoardhi kuunganishwa kwenye Gridi ya Taifa ifikapo 2030 – Mramba

📌 Mikoa 16 kunufaika na Nishati ya Jotoardhi 📌 SEforALL yatakiwa kuwekeza katika utafiti na ubunifu Tanzania imelenga kuunganisha nishati ya jotoardhi kwenye gridi ya taifa ifikapo mwaka 2030 ili kuwa na umeme wa uhakika unaotokana na nishati jadidifu kuelekea…

Mifumo rafiki ya upatikanaji wa nyaraka iwekwe kuwafikia wananchi kwa wakati

Na Mwandishi Wetu Idara ya Mpiga Chapa Mkuu wa Serikali yatakiwa kuweka mifumo mizuri ya usambazaji wa nyaraka za wazi kwa wananchi kupitia mifumo ya kidigitali na hata kwa mifumo ya nyaraka ngumu ili wananchi wanufaike na taarifa hizo. Hayo…

Almasi, dhahabu yaipaisha Shinyanga, fursa bado zipo njooni – Mapunda

🟠Yafikia asilimia 82 ya lengo ukusanyaji maduhuli · Fursa bado zipo njooni – Mapunda Na Mwandishi Wetu, JamhuriMdia, Shinyanga MAKUSANYO ya maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini katika Mkoa wa Shinyanga yatokanayo na mrabaha, tozo na ada mbalimbali kwa…

Kamati ya Bunge yaridhishwa utekelezaji mradi wa umwagiliaji Nyida, Shinyanga

Ni mradi wa Umwagiliaji unaotekelezwa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC) NIRC Shinyanga Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Viwanda, Biashara Kilimo na Mifugo imeridhishwa na utekelezaji wa miradi inayofanywa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji (NIRC), ikiwemo ujenzi…

Waziri Ndumbaro awashangaa wadhamini wa taasisi wasio na weledi

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Sheria na Katiba Dkt.Damas Ndumbaro amewashangaa baadhi ya wadhamini wa taasisi, zikiwemo za kidini, ambao hawatimizi majukumu yao kikamilifu na wanatumia mali za taasisi zao kwa maslahi binafsi. “ Hivi karibuni,…