Category: MCHANGANYIKO
Uchunguzi wa kisayansi umesaidia kuunganisha wahalifu na tuhuma zinazowakabili kiurahisi
Na Tatu Mohamed, JamhuriMedia, Dar es Salaam JESHI la Polisi nchini limeungana na wadau wengine dunia katika maadhimisho ya siku ya Kimataifa ya uchunguzi wa sayansi ya Jinai (Forensic Day) leo Septemba 20, 2024 katika Chuo cha Taaluma ya Polisi…
Wanachama wa CHADEMA, ACT- Wazalendo 62 wahamia CCM Kibaha Mji
Na Mwamvua Mwinyi, JamhuriMedia, Kibaha Wanachama wa vyama vya upinzani 62 Kibaha Mji, Mkoani Pwani wamejiunga na CCM na kuahidi kuwa waaminifu na kukisaidia Chama cha Mapinduzi kikamilifu katika Chaguzi zijazo. Vyama ambavyo wanachama hao wanatokea ni ACT WAZALENDO wanachama…
Dk Biteko aagiza Kigoma kuingizwa kwenye gridi kabla ya 2025
📌 Ataka TANESCO kuongeza kasi utekelezaji miradi ya umeme wa gridi 📌 Aagiza majenereta ya umeme wa mafuta Kigoma kuzimwa mwishoni mwa 2024 📌 Azindua ujenzi mradi wa umeme Malagarasi 49.5 MW 📌 Atoa neno kuhusu uchaguzi Serikali za Mitaa…
Nishati safi inamuondolea adha mtoto wa kike – Kijaji
📌 Kuokoa muda kwa ajili ya shughuli za maendeleo 📌 Atoa wito kwa wananchi kutumia Nishati Safi ya Kupikia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji amesema uwepo wa Nishati Safi ya…
Maendeleo ni makubwa nchini, Watanzania tumuunge mkono Rais Samia- Mathias Canal
Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Singida Rasi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Samia Suluhu Hassan anapaswa kutiwa moyo na kuungwa mkono kwa maendeleo makubwa anayoyafanya kwa ajili ya watanzania sio kubezwa au kumkejeli. Wakati Tanzania inapata uhuru mwaka 1961…
Mhagaa : Serikali yatenga bil. 1/- upimaji afya nyumba kwa nyumba
Na Mwandisi Wetu,JamhuriMedia, Dar es Salaam Waziri wa Afya Jenista Mhagama amesema miongoni mwa majukumu ya wahudumu wa afya ngazi ya jamii ni kupima magonjwa yasiyoambukiza na yanayoambukizwa. Amesema wahudumu hao watapita nyumba kwa nyumba katika vijiji mbalimbali vya mikoa…